Jamani laana hii ni ya kujitakia!!!!!!!

Jamani laana hii ni ya kujitakia!!!!!!!

Mtoa mada hataki kukubaliana na mimi katika hoja zangu........yeye anadai kuna laana lakini nijuavyo mimi Kanisa huwa halilaani kitu bali huombea tu
Tuwe careful, kwa dini ya kikristo laana hutolewa kwa nadra sana, na ndio maana nikaandika laana mtu anajitakia mwenyewe.

Hapo mahala palifanyiwa maombi na kuwekwa wakfu katika sala iliyoogozwa na Askofu Mushendwa, na hiyo si kumlaani mtu bali kuweka hapo mahala baraka zake Mwenyezi Mungu.
Sasa mtu anapoenda kinyume na hayo anajitafutia nini?
 
asante kwa majibu mazuri ila sikai dar nakaa singida karibu tulime alizeti,kuhusu usafiri hata guta bado kujaaliwa
Wiki ijayo nitakuja Singida nichinjie kuku kuchi mmoja mzuri, nitafikia sehemu moja karibu na NBC, nitaku-pm nikikaribia.
Kuhusu usafiri bado hujataka tu, ukiamua utaupata.
 
Ili eneo liko wapi nina shida ya frem kweli nataka kuanzisha kabiashara kangu..........
Coz binadamu wakikosa sera wwnaanza kukimbilia kusema wamelogwa wapiiiiiii hakuna lolote

Unataka kuhakikisha kama kweli kuna kulogwa basi karibu yakheeee....
 
Mwenye mali naye ana masharti haswa, labda angejenga nyumba ya kuishi kuliko biashara, labda ingesaidia.....
 
Mwenye mali naye ana masharti haswa, labda angejenga nyumba ya kuishi kuliko biashara, labda ingesaidia.....

Mahali pale inaelekea pameporwa toka kanisani , hata angejenga nyumba ya kuishi bado pangekuwa na matatizo.
Pale jirani si kuna nyumba ya chekechea? Haina wanafunzi hata siku moja!
 
Na ikabidi basi mwenye Gym aondoke maana wanaume peke yao hailipi au siyo?

Mkuu si gym tu walioondoka, hata ofisi ndogo ndogo na salon za wanawake zilizokuwepo zote zimeondoka.
Pale gym mimi nilikuwa nafanya mazoezi, tena ya nguvu, triner wake kijana rasta alihamia gym ya Oilcom pale sayansi.
Kisingizio kwamba supermarket ziliondolewa kwa vile walikuwa wanauza pombe si kweli, wateja walianza kupungua kwa kasi kubwa bila maelezo
 
Back
Top Bottom