Grand Master Dulla
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 411
- 146
sio hivo bro kama unakijua tuelekeze basiunataka kujifunza kupiga ramli....??
wewe unacho?sio hivo bro kama unakijua tuelekeze basi
Unakitaka au unataka kujua matumizi yake?Jamani kuna mtu yeyote humu anayekijua kitabu cha SATAAL KHABAR pamoja na matumizi yake kwa ujumla na nini kazi zake??
Hahha sio Ramli ni Ramli chonganishiunataka kujifunza kupiga ramli....??
Kuna jamaa kasema nicha kupiga Ramli....google kiarabu kinaweza kuja
kuna nilimsikia akikitaja lakini sikupata nafasi zaidi ya kumuuliza maana nilikuwa napita tu halaf cwajui nililidaka jina na maelezokidogowewe unacho?
nataka vyote na je nitaweza kukipata wapi maduka kinapouzwa? na namna kinavyoanya kazi pianataka kujuaUnakitaka au unataka kujua matumizi yake?
Kama unacho unaweza kukisoma utajua tuu
ndio maana nikakuuliza unataka kujifunza kupiga Ramli...maana kazi kubwa ya hicho kitabu ni kuona mambo yaliyo jificha yatakayotokea au ambayo yamesha tokea...ninaweza nikakupa msasa kidogo wa jambo hilo ila itakugalimu kidogo...ukiwa teyari...unaweza kunitafuta kwenye hapa zero67tisa5mbili1tatu4nne. huwa sijibu meseji.sio hivo bro kama unakijua tuelekeze basi