Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Hahaha! Yuko kliniki, safari ya mikumi ilizaa matunda. Naona anatema mate mara kwa mara na kula vitu vichachu!
Wewe si umesema kuwa una vibinti 2 vinakutosha au? Nilishaanza kutafuta jinsi ya kukupata ili niwaandalie madume wangu 3 njia!!!