Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
kwa mpigo means tupacha tunne!!! hapo i have no choice semeji
Au tuwili utaturudisha ahera? I cant imagine, huo ubaunsa wako ukamate tupacha tunne. Ukiingia kwenye daladala watacheka watu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa mpigo means tupacha tunne!!! hapo i have no choice semeji
Mtoa mada yuko wapi..mbona kakimbia na kuwaaacha watu wanachangia bila comment kama anaelewa au anahitaji kuelimishwa zaidi!Bujibuji rudi jamvini babaake usomeshwe!
Afu Bujibuji ndo zake hizo, anaweka kitu mezani yeye huyooooooo!!!
Au tuwili utaturudisha ahera? I cant imagine, huo ubaunsa wako ukamate tupacha tunne. Ukiingia kwenye daladala watacheka watu!
Somo limeshamuingia ameamua watu waende off topiki.
hahaaaa!!! lol shemeji mind ur words tafadhali!!!
Hehehe! words changed to their opposite. Sore shemeji! Nakuombea upate mapacha sita wenye afya tele!
sasa dua mbaya hizo, ni kama unataka niwatese kwa kuwasukuma na kuwaangusha toka kitandani maana space ya kulala itakuwa haba!!!
Basi tuwili.
hapo sawa
I will be very grateful if I will be their dady!
sasa wewe si bamkubwa au???
Hii mbona cha mtoto ndugu? Mimi kali ambayo nimewahi kuiskia ni kwamba mtoto mmoja wakati anachapwa na mama yake kwa kukojoa kitandani, alipandisha ghadhabu na kumuambia mamake '' Unanionea mimi tu kwa kuwa ni mdogo, mbona baba humchapi?....kila siku usiku namsikia ukisema anakojoa kitandani na wewe unamkubalia''Wee jeni amka ujishike vizuri wameanza tena mchezo wao wasije wakakuangusha tena.
Hapo chacha! Kizuri kula na nduguyo!
vingine huwezi wewe mbona unafata mila potofu shemeji lakini....dadangu le yuko wapi kwanza??? au ulimwacha mchanga mweupe kule??
Hahaha! Yuko kliniki, safari ya mikumi ilizaa matunda. Naona anatema mate mara kwa mara na kula vitu vichachu!
hahaaaa lol!!! ntamnunulia ndimu le na maembe mabichi nione responce!!!
Wazazi ni wajinga kbsa hawa, na baadhi ya ambao hawajatajwa hapa, kama huna uwezo unazaa ya nini? ili kusumbua watoto sio? na wengine hata kuwalisha hatuwezi. Ni aibu. Oaneni na msizae mleeane tu.
sawa maisha magumu nini kifanyike?Nguli sio ujinga ndugu vijimambo vya maisha tu hivyo, masikini nao wana haki ya kulana uroda na kuzaana, na ndoa za kiafrika bila watoto si unajua tena mtaandikwa magazeti, mtatungiwa na nyimbo za ngoma za kienyeji!
we acha tu hata huo mchana chumba kimoja kinakuwa na mambo kibao, maji ya kunywa yamo humo, kupika ni humo, madaftari ya watoto yako humo, makochi huko huko incase kuna mgeni stimu lazima zikatike, kwa ujumla ni maisha magumu sana, na ndiohapo mtu anapoamua kula uroda usiku na vitoto vyetu vya kichina hivi havifungi macho, vinalala saa 8 usiku kwa kusikilizia mautamu ya watu, mwee I thank GOD kwa maisha niliyonayo, nayaona bora sana sana!