Jamani Joto hadi nashindwa KUWOWA!!!

Jamani Joto hadi nashindwa KUWOWA!!!

Joto likiwa kali ndo raha mchuzi unakuwa mwepesi maana unayeyushwa.
 
Funga AC bujibuji, ila sasa na umeme wa Tanesco karaha tupu, yani bongo aaaaaaaaaghhhhhhhhhrrrr


Il Gambino.
 
Dar es Salaam usiku hakulaliki, joto si la kawaida.
Joto hili sijui ni la mvua, au la jua?
Hatari tupu

Kama ni KUWOWA na hauna kiyoyozi au feni fanya kama tufanyavyo wenzako tulio katika hali sawa!!!! Nenda maliwatoni na mwenzio mkiwa na ndoo yenye maji tosha na kikombe/bohora la kuchotea!!!

Anza KUWOWANA na joto ikizidi MWAGIANENI maji kupoza; kisha endelea hadi mtakapokata kiu zenu!!!!! Kwangu inafanya kazi kwa mafanikio makubwa tuuu!!!!!! Sema ndoo nimeiwekea stand ili maji yafikiwe kwa urahisi (badala ya sakafuni; too much kujipinda kuchota)
 
Mpangaji, choo na bafu chumba kimoja paspoti saizi, afu wapangaji wako familia 6 na kila familia ina watoto na mwenye nyumba anaishi hapo hapo

Teknik yako japo nzuri, au wanunue yale mabeseni makubwa liwe jacuzi

Kama ni KUWOWA na hauna kiyoyozi au feni fanya kama tufanyavyo wenzako tulio katika hali sawa!!!! Nenda maliwatoni na mwenzio mkiwa na ndoo yenye maji tosha na kikombe/bohora la kuchotea!!!

Anza KUWOWANA na joto ikizidi MWAGIANENI maji kupoza; kisha endelea hadi mtakapokata kiu zenu!!!!! Kwangu inafanya kazi kwa mafanikio makubwa tuuu!!!!!! Sema ndoo nimeiwekea stand ili maji yafikiwe kwa urahisi (badala ya sakafuni; too much kujipinda kuchota)
 
Kuwowa sio kuoa
Kuwowa ni kujifunika na mablankent mawili hadi utoke majasho, ndo maana anashindwa kujifunikia hayo mablanket saabu sa ivi Dar joto la sivyo ataiva kama nyama.
kha...kama kuwowa ndo huku huyu nae alikuwa anamaanisha nini?:
Kama ni KUWOWA na hauna kiyoyozi au feni fanya kama tufanyavyo wenzako tulio katika hali sawa!!!! Nenda maliwatoni na mwenzio mkiwa na ndoo yenye maji tosha na kikombe/bohora la kuchotea!!!

Anza KUWOWANA na joto ikizidi MWAGIANENI maji kupoza; kisha endelea hadi mtakapokata kiu zenu!!!!! Kwangu inafanya kazi kwa mafanikio makubwa tuuu!!!!!! Sema ndoo nimeiwekea stand ili maji yafikiwe kwa urahisi (badala ya sakafuni; too much kujipinda kuchota)​


<
au mi ndo nimepitiliza kuelewa hapa...!??
 
Unashindwa eeh?
Basi ondoa shaka, utasaidiwa tu..!
 
Ukijifunika joto ukijifunua Mbu, ukikaa ndani ngeleja hakupi nafasi ya kuangalia TV, ukitoka nje harufu za vikwapa sijui uchague nini taaabu na karaha Jiji la Dar
 
Bora kupaa kama ea danganyika

Ukijifunika joto ukijifunua Mbu, ukikaa ndani ngeleja hakupi nafasi ya kuangalia TV, ukitoka nje harufu za vikwapa sijui uchague nini taaabu na karaha Jiji la Dar
 
Back
Top Bottom