Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
ndio wakina nani hao?
Rudi kwenye jukwaa la siasa, naona huku hakukuhusu.
ndio wakina nani hao?
Mungu awaponye,nimemuona Sajuki kwenye kipindi cha take one sio siri it seams anaumwa sana!
Sajuki anaumwa nini?
Mara ya mwisho nilisikia angeenda India kwa oparesheni, kwani hakwenda tena?Inadaiwa ana uvimbe aina ya matezi ambayo yameota kuanzia tumboni na sasa yanakaribia kufika kwenye koo
SL Sajuk ndo nani?Mara ya mwisho nilisikia angeenda India kwa oparesheni, kwani hakwenda tena?
SL Sajuk ndo nani?
Ni Msanii Chipukizi wa Movie ambaye yeye na Msanii Chipukizi wa Movie aitwaye Wastara walipata ajali mbaya iliyosababisha Mguu wa Wastara ukatwe... pamoja na hali ya mkewe walikuja oana... ila kwa sasa Mmewe ndio yupo hoi... INASIKITISHA SANA...
Akiyamungu, na wala tusijisahauImenikumbusha ule wimbo wa RTD wa loong time,uliokuwa unasindikiza kipindi cha wagonjwa waliokuwa wanatembelewa ktk hospitali..."ajuaye bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu,mgonjwa kuwa salama" leo hao wote meanibg Sajuki na Vengu wanapumua Kanumba aliyekuwa mzima ndio kaondoka...Kweli Mungu mwenye huruma aendelee kuturehemu viumbe vyake maana bila hiyo,we really dont know what next second hold for us.......