Sikiliza wa South Africa ni huo huo wetuJaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu...
Wengi Sana Hata Historia Ya Wimbo Wetu HajuiKweli humu kuna watoto
SawaCongo vs zambia 2_1
Tupunguze mabishano unaweza kuta unabishana na mwanao. Sasa hadi hii wanashangaa leo 2024.Kweli humu kuna watoto
Hiii account hii😂😂😂Kumamake,huyu kakuta anaubonda
Tanzania, Zambia na Afrika Kusini wote tumeanza kwenye "Nkosi Sikeleli" / "Mungu Ibariki".Jaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu.
Nyerere shikamoo popote ulipo
Jana tumesikia wa South Africa mmh nao sijauelewa hope waliruhusiwa ku paste