Jamani hii kitu ni ndege ama nini

Jamani hii kitu ni ndege ama nini

Vipi kuhusu Chemtrails? Ni kweli kuna mataifa yanafanya hivyo?
Kama zipo basi hata hao wanaozimwaga zinawaathiri pia. Na kama wanazimwaga ndege zinapopita Afrika, kwani wazungu hawapo Afrika? Conspiracy theories tu hizo hadithi za vijiweni za wazungu

Na kama chemtrails kwa mfano ni kwa ajili ya uzazi wa mpango, basi zimewaathiri wazungu wenyewe, maana wao population zao ndio zina tatizo, sisi huku tunazidi kufyatua watoto!
 
Kama zipo basi hata hao wanaozimwaga zinawaathiri? Na kama wanazimwaga ndege zinapopita Afrika, kwani wazungu hawapo Afrika? Conspiracy theiries tu hizo hadithi za vijiweni za wazungu

Na kama chemtrails kwa mfano ni kwa ajili ya uzazi wa mpango, basi zimewaathiri wazungu wenyewe, maana wao population zao ndio zina tatizo, sisi huku tunazidi kufyatua watoto!

Shukran Chief!
 
Kama zipo basi hata hao wanaozimwaga zinawaathiri? Na kama wanazimwaga ndege zinapopita Afrika, kwani wazungu hawapo Afrika? Conspiracy theories tu hizo hadithi za vijiweni za wazungu

Na kama chemtrails kwa mfano ni kwa ajili ya uzazi wa mpango, basi zimewaathiri wazungu wenyewe, maana wao population zao ndio zina tatizo, sisi huku tunazidi kufyatua watoto!

But what if hao wanaozimwaga wanatambua tiba ama kinga ya kuwaepusha na madhara yake?
 
Ngoja ngoja twende taratibu jibu na hili inakuwaje hapa duniani tunapata joto kali na huko juu kuwe na baridi kali wakati joto tunalolipata huku ndo linatoka huko..??????
Unahitaji somo refu sana.

Kuna mada advance inaitwa climatology au space dynamic kama ambavyo waliibadili jina. Hii mada inamajibu yote ya hilo swali lako. Lakini kwa kifupi layer tunayoishi sisi wanadamu ambayo ndo imeizunguka dunia(atmosphere) ina sifa tofauti na layer nyingine zinazofuatia baada ya hapo.

Kwenye hii layer ndio itakuta kadri unavopanda juu kutoka usawa wa bahari joto hupungua. Na ipo km chache tu kutoka keenye uso wa dunia.

Baada ya hapo utakutana na malayer mengine kama lithosphere,troposhere nk ambapo kuna layer hapo kadri unavopanda juu ndo joto pia huongezeka.

Kama nilivokwambia ni somo refu sana but in summary nafikiri umepata concept kidogo

Chao
 
But what if hao wanaozimwaga wanatambua tiba ama kinga ya kuwaepusha na madhara yake?
Basi hiyo haiwezi kuwa siri tena, kwa hiyo haiwezekani. Kumbuka kama kweli kuna chemtrails lazima iwe siri. Sasa ukimwaga chemtrails na unataka ndugu zako wapone uwape dawa nk, bado itakuwa siri? Si vema tu uutangazie ulimwengu namwaga chemtrails?
 
Duuu dingi yako Mungu anamuona. Nenda mwambie ushapaga majibu
 
Hiyo ndege utakuta fuel pump ina tatizo hivyo kupelekea kutoa moshi mweupe...
 
Basi hiyo haiwezi kuwa siri tena, kwa hiyo haiwezekani. Kumbuka kama kweli kuna chemtrails lazima iwe siri. Sasa ukimwaga chemtrails na unataka ndugu zako wapone uwape dawa nk, bado itakuwa siri? Si vema tu uutangazie ulimwengu namwaga chemtrails?

Nakuelewa Chief, ila bado nauliza “what if” sio lazima kuokoa ndugu ila wale wa karibu zaidi (Baba,mama, watoto, wafuasi/washirika muhimu)

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg


Ni mwaswali tu Chief, nahitaji kujifunza.
 
Basi hiyo haiwezi kuwa siri tena, kwa hiyo haiwezekani. Kumbuka kama kweli kuna chemtrails lazima iwe siri. Sasa ukimwaga chemtrails na unataka ndugu zako wapone uwape dawa nk, bado itakuwa siri? Si vema tu uutangazie ulimwengu namwaga chemtrails?

Kingine yawezekana Siri kutoka ikiwa mzunguko wa watunza Siri kuzidi mmoja ama?
 
Nakuelewa Chief, ila bado nauliza “what if” sio lazima kuokoa ndugu ila wale wa karibu zaidi (Baba,mama, watoto, wafuasi/washirika muhimu)

Ni mwaswali tu Chief, nahitaji kujifunza.
Nakuelewa Mkuu. Unajua ndege zote zinatoa hizo trails. Hata tukipeleka Dreamliner yetu India utaona contrails ambazo watu wanasema ni chemtrails. Hakuna ndege ya shirika lolote duniani ambayo ni jet plane na ambayo itapita eneo la baridi lenye saturated air isitoe contrail.

Sasa ndio tuseme Dreamliner yeti ikitoa contrail Magufuli wa Tanzania ameingizwa kwenye kumwaga chemtrail?

Suala la simple logic tu Mkuu, na utaona hizo conspiracy theory hazi hold.

Hata ukipeleka Airbus Mbeya ikapita eneo la juu kwenye saturated air ukiwa eneo la Njombe unaona contrails. Sidhani huyu Magufuli ninaemjua angekubali kutumika hivyo.

Labda utasema wanaweka kwenye mafuta bila kutuambia. Mafuta ya ndege yakiingia nchini yanapimwa kwa umakini sana kuhakikisha hayana kitu chochote kisichotakiwa. Pia mafuta hatununui kwa wazungu. Je waarabu ndio watakuwa wanaweka chemicals, hata kwenye ndege zao wenyewe? Na kama hizo chemicals ni kwa ajili ya mvua, kwa nini iwe siri tusimwage mvua jangwani? Au kwa nini kuharibu climate ili Marekani wapigwe na hurricanes? Yaani wajiue wenyewe?
 
Huu uzi itapendeza sana kama Barafu atachangia chochote,
Wengine sisi hatujui chochote kuhusu mambo haya
 
Kwa uelewa wangu huu mdogo, ila wanaojua zaidi watasema hii ni Ndege Kasi aina ya Concorde ambayo kwa Afrika inatua tu Cairo na Cape Town.
Na huwa naiona inapita Dodoma kila siku ya jumatano kama sikosei saa 10 jioni nimeiona toka enzi hizo
 
Kwa uelewa wangu huu mdogo, ila wanaojua zaidi watasema hii ni Ndege Kasi aina ya Concorde ambayo kwa Afrika inatua tu Cairo na Cape Town.
Concorde baada ya kupata ajali pale Charles de Gaule airport ziliondelewa kwenye matumizi hadi hii leo.Mkuu
 
Samahani kuuliza, unaposema anga la kimataifa inamaanisha nn? na hua zinaelekea wapi? haziwezi tua hapa kwetu?
nchi huwa zinamiliki ardhi hadi kwenye mipaka, maziwa, mabwawa mito pamoja na bahari. vyote hivyo vina mipaka.

hata uko angani pia kuna mipaka...

unaposema anga la kimataifa ina maana hilo ni anga ambalo halina mmiliki ndege yeyote inaweza kupita huko bila kupata bughudha ya aina yoyote.
 
Back
Top Bottom