Jamani hii kitu ni ndege ama nini

Jamani hii kitu ni ndege ama nini

Kwa uelewa wangu huu mdogo, ila wanaojua zaidi watasema hii ni Ndege Kasi aina ya Concorde ambayo kwa Afrika inatua tu Cairo na Cape Town.
Mkuu concorde hazipo tena wakati huu, zilishapumzishwa milele kutokana na majanga yaliyoletwa na hizo ndege.
 
Kweli ndege inapotoka point A to point B rubani ana calculate umbali ,speed per miles kiasi cha mafuta na uzito wa ndege hivyo kama amatembea vzuri na amefika destination alafu hali ya upepo ikawa na mgandamizo mdogo yaani upepo wa kubeba uzito wa denge wakati inatua isitue kama mzigo kupunguza mshindo inabidi apunguze mafuta ili kupunguza uzito wa ndege na kumbuka mafuta yana kaa kwenye mabawa na huwa ya funguka wakati wa kupaa ili kasi yandege kwenye run way inasaidia kuinyanyua ndege juu kwa kukata upepo na mabawa hufunga kuinama chini wakati wakutua ili upepo upite kwa kiasi hivyo ndege huwa nzito hivyo akiona ndege ni kubwa na hakuna hali nzuri ya kutua hupunguza mafuta kama yapo mengi lakini ni mara chache maana ndege hutembea kwa vipimo ili kumaintain uzito angani hakiona halimbaya ya hewa au hatari ya kuanguka hufungua mafuta yatoke ili ikianguka isilipuke nimekujibu kwa njia ya jadi lkn utakuwa umenielewa
Nimesubscrube huu uzi. Ahsante JF.
 
Trafiki wapo ila wanakaa ardhini na waitwa air traffic controllers. Ndio wanaosababisha ndege zisigongane ovyo angani. Huwezi kurusha ndege au kutua bila kuongozwa na hawa jamaa, na lazima utii maagizo yao, hata kama wewe hupangiwi na mtu!

View attachment 1541113
Kuna documentary niliona pilot ali land airpot fulani bila habari ya ATC kwa dharura ya mgonjwa.

ATC alipitiwa na kukawa hakuna mawasiliano kati yake na pilot. Pilot aliamua ku risk na ku land.
 
Kuna documentary niliona pilot ali land airpot fulani bila habari ya ATC kwa dharura ya mgonjwa.

ATC alipitiwa na kukawa hakuna mawasiliano kati yake na pilot. Pilot aliamua ku risk na ku land.

You mean TAA sio ATC right?
 
Hahahaaa! Mkuu hizo ni ndege za kawaida tu, Seema zinapita anga la kimataifa(nyingine huwa ni za mizigo)

Mzee alikupiga kamba tu.
Kwani nyingine huwa zinapita anga la wapi mkuu
 
Hii nadhani kwa Tanzania kila mtu ameshawahi kuona ikipita angani hasa pasipo kuwa na mawingu. Wakati mdogo, mzee aliniambiaga inaitwa roketi ni jamii ya ndege lakini Africa hamna uwanja wa kutua alafu ikitua humwaga mafuta Kwanza lakini niki-Google sioni story yake kwa anaejua nisaidie.


Mbona hyo ni ndege ya kawaida tu. Hapo imepita eneo ambalo halina upepo ndiyo maana moshi wake unaonekana katika hali hiyo. Ikifika maeneo yenye upepo, huo moshi utawanyika na haufanyi mstari kama unavyoonekana.
 
Iyo ni ndege imepita kwenga zone ya baridi Kali ivyo injini inapotoa joto kali ikikutana na barid inatengeneza mvuke ndio huo moshi
 
Back
Top Bottom