My Joash
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 270
- 216
Kwa maelezo yaliyotolewaAhsante ya nini?
Kwa maelezo yaliyotolewaAhsante ya nini?
Anga za kimataifa ndio zipi hizo?Hahahaaa! Mkuu hizo ni ndege za kawaida tu, Seema zinapita anga la kimataifa(nyingine huwa ni za mizigo)
Mzee alikupiga kamba tu.
Mkuu concorde hazipo tena wakati huu, zilishapumzishwa milele kutokana na majanga yaliyoletwa na hizo ndege.Kwa uelewa wangu huu mdogo, ila wanaojua zaidi watasema hii ni Ndege Kasi aina ya Concorde ambayo kwa Afrika inatua tu Cairo na Cape Town.
Iko hv kadir unavyopanda juu ndo barid linaongezeka,mfano ukpanda mlima mrefu,
Nimesubscrube huu uzi. Ahsante JF.Kweli ndege inapotoka point A to point B rubani ana calculate umbali ,speed per miles kiasi cha mafuta na uzito wa ndege hivyo kama amatembea vzuri na amefika destination alafu hali ya upepo ikawa na mgandamizo mdogo yaani upepo wa kubeba uzito wa denge wakati inatua isitue kama mzigo kupunguza mshindo inabidi apunguze mafuta ili kupunguza uzito wa ndege na kumbuka mafuta yana kaa kwenye mabawa na huwa ya funguka wakati wa kupaa ili kasi yandege kwenye run way inasaidia kuinyanyua ndege juu kwa kukata upepo na mabawa hufunga kuinama chini wakati wakutua ili upepo upite kwa kiasi hivyo ndege huwa nzito hivyo akiona ndege ni kubwa na hakuna hali nzuri ya kutua hupunguza mafuta kama yapo mengi lakini ni mara chache maana ndege hutembea kwa vipimo ili kumaintain uzito angani hakiona halimbaya ya hewa au hatari ya kuanguka hufungua mafuta yatoke ili ikianguka isilipuke nimekujibu kwa njia ya jadi lkn utakuwa umenielewa
Kuna documentary niliona pilot ali land airpot fulani bila habari ya ATC kwa dharura ya mgonjwa.Trafiki wapo ila wanakaa ardhini na waitwa air traffic controllers. Ndio wanaosababisha ndege zisigongane ovyo angani. Huwezi kurusha ndege au kutua bila kuongozwa na hawa jamaa, na lazima utii maagizo yao, hata kama wewe hupangiwi na mtu!
View attachment 1541113
Kuna documentary niliona pilot ali land airpot fulani bila habari ya ATC kwa dharura ya mgonjwa.
ATC alipitiwa na kukawa hakuna mawasiliano kati yake na pilot. Pilot aliamua ku risk na ku land.
Hata mm sijui mkuu nilishazoea kunyonya mafuta kwenye carburetor kwa mdomo nmemeza Sana petrol
Tatizo Gent, Unajua sana mzee. Umepiga kamba unarekebishwa unapanic. Punguza kujua sanaWajinga ( Mangumbaru ) sijui mtaisha / mtapungua lini duniani na hasa hapa nchini Tanzania.
TAA ni nini??You mean TAA sio ATC right?
TAA ni nini??
Kwani nyingine huwa zinapita anga la wapi mkuuHahahaaa! Mkuu hizo ni ndege za kawaida tu, Seema zinapita anga la kimataifa(nyingine huwa ni za mizigo)
Mzee alikupiga kamba tu.
Mimi nimesema ATC nikimaanishaTanzania Airports Authority. TAA
Mimi nimesema ATC nikimaanisha
A. AIR
T. TRAFFIC
C. CONTROLLER
Hii nadhani kwa Tanzania kila mtu ameshawahi kuona ikipita angani hasa pasipo kuwa na mawingu. Wakati mdogo, mzee aliniambiaga inaitwa roketi ni jamii ya ndege lakini Africa hamna uwanja wa kutua alafu ikitua humwaga mafuta Kwanza lakini niki-Google sioni story yake kwa anaejua nisaidie.
wale wanaoongoza ndege pale CONTROL TOWER ndo wanaitwa tunawaita hivi dunia nzima.Hii ni Tz ama? Air traffic controller ni cheo ama taasisi?
wale wanaoongoza ndege pale CONTROL TOWER ndo wanaitwa tunawaita hivi dunia nzima.
Hapana ni duniani huko mkuu. Mwanamke mjamzito alipatwa uchungu ghafla. Ikabidi pilot a land uwanja ulio karibu.Nimekusoma chief! Hilo tukio ulilotolea mfano was it in Tz ama?
Sawa kabisa!The higher the altitude the low the temperature. Cjui kama nakumbuka vizuri hii kitu nilisoma nikiwa form 1 au 2 hivi, watu wa Physics nisaidieni.