Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,324
- 62,209
Tz huwajawai kuona ndege ikipita hivyo? Kwenu ni wapi?Binafsi sijawahi kuona hii hali Tz, ila ughaibuni. Si ndege ya abiria au mizigo, nahisi kama sio chombo cha kijeshi, basi pengine ni cha utafiti. Baba yako anaweza kuwa sahihi kuwa ni rocket.