Jamani hii imekaaje kwa wameru

Nikweli kabisa huko ni kwetu na ukipangiwa mchango kama hujatoa ni bora uhame kabisa balaa' meru yote sin'gis' akeri' ngwandrua'poli' tengeru' ndoombo' maroroni' majiachai katiti' makiba' kwaugoro' karangai' kitefu.
 
Sasa kumekosekana adhabu nyingine ya kiutu uzima ya kupewa tofauti na iyo? Embu imagine kama uyo jamaa leo anaweza akawa na nguvu ya kumuonya mtoto yoyote mtaan ilhali watoto washamuona amechezea za kutosha!!!?
Wacha atandikwe. Utaachaje kwenda msibani?
 
70 na mie nimeisikia sn hii. Ss sijui wadada unakuwaje?
Na nasikia ni agizo la mringaringa-mti maalumu wa kimila unaotoa maamuzi ya mwisho,je ni kweli?
Nilikuwepo huko miaka fulani na nilitembelea vijiji kadhaa,aisee wakimwona mgeni wanaanza kumwangalia na kupay attention sn.
That's Meru bwana.
 
Tulikuwa pale Usa jamaa mmoja anaitwa tareto akawa anazozana na wenzake. Katika purukushani akawaambia "Waare Lumuwaa" afu akatoka nduki..eti alimaanisha nini hapo?
Makishabo hahaaa
 
Back
Top Bottom