Watu wanaoiponda mira hii wajiulize kuhusu faida zake kwanza.Hii mira ikitekelezwa nchi nzima huwezi kutana na wacheza pool saa 4 asubuhi au sijui panya road.
Wacha atandikwe. Utaachaje kwenda msibani?Sasa kumekosekana adhabu nyingine ya kiutu uzima ya kupewa tofauti na iyo? Embu imagine kama uyo jamaa leo anaweza akawa na nguvu ya kumuonya mtoto yoyote mtaan ilhali watoto washamuona amechezea za kutosha!!!?
Hii adhabu inatakiwa iwe introduced kwa nchi nzima ili watanzania wanyooke tumelemaa sanaMila na desturi, hakuna tume ya haki za binadamu hapo, chapa bakora kwa kwenda mbele
Chezea wameru nenda vijijini kwao umevaa mlegezo uone!
Makishabo hahaaaTulikuwa pale Usa jamaa mmoja anaitwa tareto akawa anazozana na wenzake. Katika purukushani akawaambia "Waare Lumuwaa" afu akatoka nduki..eti alimaanisha nini hapo?