Jamani hii imekaaje kwa wameru

Jamani hii imekaaje kwa wameru

Na apigwe tu maana hakuna namna unashindwa kwenda kuwazika wenzio wewe utajizika?
 
Viboko 70! Nakumbuka huko meru, miaka ya nyuma, ijumamosi ilikua ni siku maalum kwa vijana wote kufanya kazi za jamii, kama kulima bara bara, kuchimba mitaro, kutengeneza mifereji n.k, usipotokea unapigwa faini!
 
Huku uchagani ukiwa mbea mbea tu na tuki prove kweli we mwanaume umeongea umbea,aisee tunakunyuka vibaya fimbo mbele ya jamii yaani ni viboko kama denti vile.
 
Hizo tamaduni za kishamba kwelikweli yani umchape bakora kijana kwasababu hakuhudhuria msiba? Hiyo adhabu inawakumba zaidi wasioweza kuongea na kushikilia msimamo wako. Upuuzi mtupu kulazimishana mambo ya kijinga. Ninauhakika hiyo imepitishwa na kikundi cha wazee wachache wanaodhani wao wanamaadili kuliko wengine kumbe wachafu kama jalala tu.

Tamaduni yoyote yakulazimisha watu mambo ambayo si lazima sana na hayana adhari kwa wengine ni uonevu wa hali juu na inatakiwa kupigwa.
 
Hawa Jamaa hawaangalii wewe ni nani ukiharibu tu wanakupa Kubwa na inatambulika sio kwamba ni blabla.

Kuna Jamaa aliazima CD ya blue akaanza kumshirikisha wife zile sarakasi za kwenye CD wife akashtaki kwa wazee Jamaa akachezee 70 ahahahahaha.

Wanawake nao wakikosea adhabu yao ni nini?
 
Hawa Jamaa hawaangalii wewe ni nani ukiharibu tu wanakupa Kubwa na inatambulika sio kwamba ni blabla.

Kuna Jamaa aliazima CD ya blue akaanza kumshirikisha wife zile sarakasi za kwenye CD wife akashtaki kwa wazee Jamaa akachezee 70 ahahahahaha.

Hahaaaa yani nikitoka kula bakora huko nisimkute nyumbani aiseee
 
Na si lazima mtu achapwe viboko sabini ukijieleza vizuri kwa kujitetea hauchapwi na kama afya si nzuri hauchapwi
 
hapo ndipo tatizo la kuchanga dini za mshariki ya kati na mila na desturi za Africa
Biblia inasema wacha wafu wazike wafu wao kijana kafuata ya Biblia kaacha ya
wa Meru
 
Sasa kumekosekana adhabu nyingine ya kiutu uzima ya kupewa tofauti na iyo? Embu imagine kama uyo jamaa leo anaweza akawa na nguvu ya kumuonya mtoto yoyote mtaan ilhali watoto washamuona amechezea za kutosha!!!?
Anachapiwa sehemu ambayo watoto hawapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom