kenzi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 425
- 461
Duh... huyo mke... hapendi utamu???Hawa Jamaa hawaangalii wewe ni nani ukiharibu tu wanakupa Kubwa na inatambulika sio kwamba ni blabla.
Kuna Jamaa aliazima CD ya blue akaanza kumshirikisha wife zile sarakasi za kwenye CD wife akashtaki kwa wazee Jamaa akachezee 70 ahahahahaha.
Chezea wameru nenda vijijini kwao umevaa mlegezo uone!