Jamani hii imekaaje kwa wameru

Jamani hii imekaaje kwa wameru

Kweli alikua Dkt mzuri sana,Meru ni nyumbani au ulikua unaishi kwa mda?
Unaweza kusema ni nyumbani maana nimeishi huko kwa muda! Kimeru nakijua na kukisikia! Hakuna sehemu ambayo siifahamu huko meru, wala mtu maarufu yoyote wa zamani ambaye simfahamu! Japhet kirilo, kina sarakikya, kaaya wote, you name it. Ukisema nkoaranga, ndatu, ndoombo, sasi, bangata, patandi, mto nduruma, makumira, kilala , tengeru, usa, someli , huko napafahamu vyema mkuu! Na lugha naijua!
 
Unaweza kusema ni nyumbani maana nimeishi huko kwa muda! Kimeru nakijua na kukisikia! Hakuna sehemu ambayo siifahamu huko meru, wala mtu maarufu yoyote wa zamani ambaye simfahamu! Japhet kirilo, kina sarakikya, kaaya wote, you name it. Ukisema nkoaranga, ndatu, ndoombo, sasi, bangata, patandi, mto nduruma, makumira, kilala , tengeru, usa, someli , huko napafahamu vyema mkuu! Na lugha naijua!

Basi wewe ni mwenyeji kabisa. Niliishi uko kwa miaka mitano. Kimeru nakisikia lakini kwenye kuongea kinanipa ugumu kidogo. Mwaka jana nilikuepo uko kwa mda wa miezi mmoja (kipindi cha uchaguzi). Unamjua John D?
 
Unaweza kusema ni nyumbani maana nimeishi huko kwa muda! Kimeru nakijua na kukisikia! Hakuna sehemu ambayo siifahamu huko meru, wala mtu maarufu yoyote wa zamani ambaye simfahamu! Japhet kirilo, kina sarakikya, kaaya wote, you name it. Ukisema nkoaranga, ndatu, ndoombo, sasi, bangata, patandi, mto nduruma, makumira, kilala , tengeru, usa, someli , huko napafahamu vyema mkuu! Na lugha naijua!
Mbona mimi ni maarufu hujanitaja? Karibu Loshoro mkuu
 
Basi wewe ni mwenyeji kabisa. Niliishi uko kwa miaka mitano. Kimeru nakisikia lakini kwenye kuongea kinanipa ugumu kidogo. Mwaka jana nilikuepo uko kwa mda wa miezi mmoja (kipindi cha uchaguzi). Unamjua John D?
Namfahamu mkuu, aligombea pia yule lekchara pale tumaini anaitwa palanjo nadhani, ila Nina miaka mingi sana sijafika huko I ingawa mambo ya huko huwa sikosi habari zake,
 
Namfahamu mkuu, aligombea pia yule lekchara pale tumaini anaitwa palanjo nadhani, ila Nina miaka mingi sana sijafika huko I ingawa mambo ya huko huwa sikosi habari zake,

Uyo lecturer wa Tumaini simfahamu,John D baada ya kukosa ubungw nasikia alipangiwa uDC?
 
Tulikuwa pale Usa jamaa mmoja anaitwa tareto akawa anazozana na wenzake. Katika purukushani akawaambia "Waare Lumuwaa" afu akatoka nduki..eti alimaanisha nini hapo?
 
Nimeitoa mahali tu...

Binafsi mi sikubaliani na hili kabisa.
Kamati ya maadili ukoo wa Urio Meru kijana akitumikia viboko 70 vya makalio baada ya kutohudhuria msiba wa ndugu yake akaenda kufanya kazi yake ya bodaboda Tengeru, Arusha

15355779_1355343464509026_8834230546945906487_n.jpg
Wewe utakuwa mtu usiye na mira na desturi, ukiukaji hizi mira ndio sababu unaona hata ushoga unashamiri, ama binti mkubwa hata kupika hawezi, acha wanyooshwe.
Hyo ni mila na desturi tena unachapwa na watu wa rika lako!! Hata Waarusha na Wamasai wanayo na inatambulika na serikali za vijiji
Sisi huko kwetu, baada ya kura sticks 70 au zozote utakazokuwa umehukumiwa nazo, wanapiga na faini ya ng'ombe kama wawili hivi, mmoja anachinjwa unapewa nyama ukachome.
Sasa kumekosekana adhabu nyingine ya kiutu uzima ya kupewa tofauti na iyo? Embu imagine kama uyo jamaa leo anaweza akawa na nguvu ya kumuonya mtoto yoyote mtaan ilhali watoto washamuona amechezea za kutosha!!!?
Usicheze na mira na desturi, ndio maana wanasaisa huwa wanaanza kuonana na wazee wa mira wa eneo husika ili kuweka mambo sawa.
Hawa Jamaa hawaangalii wewe ni nani ukiharibu tu wanakupa Kubwa na inatambulika sio kwamba ni blabla.

Kuna Jamaa aliazima CD ya blue akaanza kumshirikisha wife zile sarakasi za kwenye CD wife akashtaki kwa wazee Jamaa akachezee 70 ahahahahaha.
 
hahahaaa mi bado hamjanichapa asee,,bora mnipige exile km okonkwo tuu
Unafuatwa huko uliko, and unachapwa juu kwa juu umeshikwa miguu na mikono, under customary law inakula kwako
 
Ahaha Somi,jina la rafiki yangu mmoja hivi. Sina uhakika kama ni kweli labda nifatilie.
Fatilia bana maana huku nilipo kwa sasa bila taarifa ya habari SAA mbili Redio Tanzania sina source nyingine!
 
Hawa Jamaa hawaangalii wewe ni nani ukiharibu tu wanakupa Kubwa na inatambulika sio kwamba ni blabla.

Kuna Jamaa aliazima CD ya blue akaanza kumshirikisha wife zile sarakasi za kwenye CD wife akashtaki kwa wazee Jamaa akachezee 70 ahahahahaha.
teteh wacha longolongo aisee
 
Hawa jamaa ni hatari sana ktk kufuata mila its serious issue Nakumbuka sana nilipokuwa huko Meru Ngarenanyuki.

Lakini kwa wamasai ni zaidi nilikuwa Ngorongoro kijijini Nainokanoka ni hatari usicheze na mila zao aisee
 
Sasa kumekosekana adhabu nyingine ya kiutu uzima ya kupewa tofauti na iyo? Embu imagine kama uyo jamaa leo anaweza akawa na nguvu ya kumuonya mtoto yoyote mtaan ilhali watoto washamuona amechezea za kutosha!!!?
Anachezea Mboko
 
Viboko 70! Nakumbuka huko meru, miaka ya nyuma, ijumamosi ilikua ni siku maalum kwa vijana wote kufanya kazi za jamii, kama kulima bara bara, kuchimba mitaro, kutengeneza mifereji n.k, usipotokea unapigwa faini!
Hata Moshi ipo hii mpaka kesho hata ukajifiche porini watakuja kukuchomoa huko hawataki mchezo kabisa kwenye swala la maendeleo
 
Fatilia bana maana huku nilipo kwa sasa bila taarifa ya habari SAA mbili Redio Tanzania sina source nyingine!
Hahaaaa sitii neno nisijeonekana najikweza bure kama wale wawazavyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom