Ernie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 217
- 23
Jamani mi naomba watu kama wanaanzisha vitu/Starehe hapa Dar wawe wabunifu na kufikiria wakifanyacho, Talking about the Khanga moja thing, Jamani hao wanawake ni vumbi, wachafu, wanakalisha watu mpaka saa 6 na nusu bila entertainment yeyote, sehemu haina viti, ndogo, congested! damn it, wanajamii wenzangu ambao mshawahi kuhudhuria naombeni mtoe changamoto kuhusu hili, nanyi ambao hamjawahi kufika tafadhali dont waste your time there!