Cantalisia, Time and again nimemwambia lakini kwa ajili ya kuficha siri yake ananisingizia bureeeeee!
Cantalisia, Time and again nimemwambia lakini kwa ajili ya kuficha siri yake ananisingizia bureeeeee!
Kweli kabisa,umejuaje?Mi like Roda!
Ana katabia kama ka Kongosho!
Yaani sijapata ufumbuzi wa kero langu. Labda sababu ya hulka yangu sipendi kusingiziwa. Najiamini mimi ni PREDATOR NA SIO SCAVENGER. Huwezi fananisha SIMBA na Fisi. Mimi ni mwindaji kwa strategies na sio mla mizoga.
kwan we hayo maelezo mengn umeyatoa wap?shida ya post yako ni kuwa kuna anko aliyefiwa na mkewe...
Na wewe ukiwa college ulikuwa unaishi na anko(mjane) O'bay..
Halafu Anko anaonekana ana mawazo ya kumpoteza mkewe...
Halafu Roda anasingizia kulala na Mike kwa ajili ya kumliwaza kwa kufiwa..
Na akasema angerudia(wakati anaongea na Pili)
halafu Mike anachukia kwa kusingiziwa kala mzigo...
So Mike na mfiwa(anko) ni the same person..
Sema umemtamani rafiki wa binti yako,vinginevyo hii ni stori ya kweli,lakini kwa sababu inakuhusu directly,ndiyo maana inakuchanya jinsi ya kuiweka sawa..
So unataka akupe kweli??Kweli ni kwamba sipendi huko kusingiziwa. Bora ingekuwa kweli.
he he he, wewe popobawa,
ntauvuta huo mkia niung'oe
kwani nimekufanyaje jamani!?
Mie namfundisha mike kula bila kutaja jina
na bila mjomba kujua
wala binamu yake asijue
mwanzodoa