Jamani ACID nakulilia Rudi.. ulikimbilia wapi

Jamani ACID nakulilia Rudi.. ulikimbilia wapi

hehehe hapo red jana mkuu wa kaya kamlamba ban JS halaf kamuanzishia sred ya besdei. Mkuu wa kaya bana!
heheeh tutafikishana mahakamani akiniban, hilo signature langu si linajieleza bana! hapa ndio utaelewa kwamba hii shahada ya ulawyer skupewa usiku.
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
 
heheeh tutafikishana mahakamani akiniban, hilo signature langu si linajieleza bana! hapa ndio utaelewa kwamba hii shahada ya ulawyer skupewa usiku.
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.

Aisee fellow tablet ngoja niwahi foleni, nasikia JK anaenda Jangwani kuchukua fomu ya Urais wa Yanga......!

Nakuachia Shosti na Blackbery utanipa matokeo ya uchunguzi kama wanahitaji dozi kubwa ziadi ili tufanye maandalizi ya kutosha.
 
Aisee fellow tablet ngoja niwahi foleni, nasikia JK anaenda Jangwani kuchukua fomu ya Urais wa Yanga......!

Nakuachia Shosti na Blackbery utanipa matokeo ya uchunguzi kama wanahitaji dozi kubwa ziadi ili tufanye maandalizi ya kutosha.
heheheeh hakyanani hapo red Yanga lazima ishuke daraja
 
hata mie pia naungana na mtoa mada simuoni kama kabadili jina atwambie :A S-rose:
 
nafikiria kloroquini na aspirin uhusiano wake... enzi hizo unakula kloroquin unaua vimelea au vijidudu vya malaria na pia unakula aspirin kupunguza joto la mwili na maumivu ya kichwa... sasa kuna malaria sugu sasa hapo duhhhhh!!.. malaria sugu ilikuwa kifungoni sasa imerudi .. itabidi kloroquin ukae karibu na dawa mseto ya malaria (ALU) ili upambane vilivyo na malaria sugu!!..
 
well well well!!!

Kanyagio, kanyagio, kanyagio

Hivi acid, si ndio yule fuko anyeongoza kwa povu za kijinga au??
 
well well well!!!

Kanyagio, kanyagio, kanyagio

Hivi acid, si ndio yule fuko anyeongoza kwa povu za kijinga au??

hi hi hi.....habari yake bana.....halafu siku hizi umekata mguu kabisa kuja Yaeda....nini mbaya?
 
Hapa ndipo ninapoona umuhimu wa kuwa na JF friend who physically knw each other....sasa kama mtu mgonjwa kalazwa, au bahati mbaya...whtver...inakuwa ngumu kwa hili jamvi kujua wht hell goin on!!waona kimya tu,mtu haonekani,kumbe...keshasafiri ughaibuni zamaniii..ni mawazo tu!!
Bora hata ugonjwa,alishawahi kufariki mdau,nadhani alikuwa anafanya kazi TCAA au airport,humu jamvini tulikuja jua baadae sana tena kwa bahati tu.Kweli ndugu yangu kufahamiana si vibaya,ila ndo hivo tena ladha ya uchangiaji itapungua maana mtaoneana aibu hata kama mtu anachangia fyongo.
 
hi hi hi.....habari yake bana.....halafu siku hizi umekata mguu kabisa kuja yaeda....nini mbaya?
kweli??

Simu nat richable, pm nat answarable, yaeda replace by samunge!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom