Nashukuru kwa karibisho Mwanana!
FT
Nyie mna mambo sana TF wewe??????????We look alike... aren't we??
fafanua kabla sred haijapelekwa jukwaa la wakubwaNyie mna mambo sana TF wewe??????????
mara fellow Tablet, mara Fellow tablet1 kasheshe..
We look alike... aren't we??
Acid ana kesi ya ufisadi
Nataka kumtetea mahakamani na ushindi is guaranteed!!Mfikishie ujumbe!
jamani humu ndani kuna mtu alikuwa anaitwa ACID sijui alipotelea wapi. Popote ulipo unaombwa urudi michango yako tunaimiss!! we miss your CRITICAL thinking!!
Zawadi itatolewa kwa yeyote atakayeweza kum-convince arudi!!.
je wewe unam-miss nani unatamani arudi jamvini?