Jamani ACID nakulilia Rudi.. ulikimbilia wapi

jamani humu ndani kuna mtu alikuwa anaitwa ACID sijui alipotelea wapi. Popote ulipo unaombwa urudi michango yako tunaimiss!! we miss your CRITICAL thinking!!
Zawadi itatolewa kwa yeyote atakayeweza kum-convince arudi!!.
je wewe unam-miss nani unatamani arudi jamvini?

nipokee basi, new jamvn, huenda nitakufaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom