kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
jamani humu ndani kuna mtu alikuwa anaitwa ACID sijui alipotelea wapi. Popote ulipo unaombwa urudi michango yako tunaimiss!! we miss your CRITICAL thinking!!
Zawadi itatolewa kwa yeyote atakayeweza kum-convince arudi!!.
je wewe unam-miss nani unatamani arudi jamvini?
Zawadi itatolewa kwa yeyote atakayeweza kum-convince arudi!!.
je wewe unam-miss nani unatamani arudi jamvini?