jaman NYUMA raha!!

jaman NYUMA raha!!

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,413
jaman NYUMA raha!! asikwambie mtu ..... NYUMA rahaaaa.... wachanipasifie, nisipo pasifia atapasifia nani tena mwenye kuujua vizuri utamu wa NYUMA!!... hebu kumbuka hapo NYUMA... soda ilikuwa tsh 250, sukari robo 150 mafuta ya kula robo 100, mafuta ya taa robo 100, sabuni ya kipande 30, unga robo 150.... da! maisha gani tena yatakuja kua kama yalivyokua enzi za NYUMA....
 
Haaa Boflo, mi sidhani kama unakumbuka yote yaliyofanywa NYUMA, nadhani huko NYUMA wewe haukuwa hivyo, ulikuwa mtoto sana kukumbuka hayo yote
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahaaaaaaaaa ila boflo huwa huishiwi vioja lol u made my day
 
aisee nilivofungua fasta hii thread nikajua ni 0713.. kumbe maisha bana boflooooooooooooo umetisha mkuu....
 
nilitaka nisifungue huu uzi, nikajua ndo mambo yao yale yale ya ufirauni; lkn baada ya kujua ni Boflo nikajua haiwezi kuwa hiyo kitu lazima kuna kitu kingine tofauti (fumbo sort of thing). LOL
 
Last edited by a moderator:
Hahah sana raha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
jaman NYUMA raha!! asikwambie mtu ..... NYUMA rahaaaa.... wachanipasifie, nisipo pasifia atapasifia nani tena mwenye kuujua vizuri utamu wa NYUMA!!... hebu kumbuka hapo NYUMA... soda ilikuwa tsh 250, sukari robo 150 mafuta ya kula robo 100, mafuta ya taa robo 100, sabuni ya kipande 30, unga robo 150.... da! maisha gani tena yatakuja kua kama yalivyokua enzi za NYUMA....

Ati nini tena Boflo?
 
nakumbuka huko NYUMA waliokuwa wanakunywa chai ni wanajeshi na mameneja wa RTC, huko NYUMA ili upate sukari na sabuni ya Ilula inabidi ujiandikishe duka la ushirika na lazima uwe mwanachama wa duka hili...siku ya kununua utaambia sukari na sabuni hakuna ila badala yake ni lazima ununue hili bakuli la bati la aluminium africa.
Huko NYUMA-kuvaa jinsi unahjesabiwa mhujumu uchumi
Huko NYUMA Kupiga mswaki kwa Colgate wewe ni mhujumu uchumi na rafiki wa makaburu
Huko NYUMA ukikutwa na dola ni hatari unampango wa kumpindua nyerere na unawekwa kizuizini.
Huko NYUMA ilikuwa karaha kweli kweli.
 
mie nyuma yangu nimekuwa soda ni mia tano!! so nyuma yangu bado haikuwa tamu Boflo!!!
 
Last edited by a moderator:
Enheee, sasa hapa nimekupata maana post zako zilikuwa za baridi ka nini
Sasa huko nyuma makahaba walikuwa shng ngapi Boflo?
 
Last edited by a moderator:
7sabishia RAHAa / UTAMUU?!:bounce:

Zilongwa mbali; zitendwa mbali...
 
Enheee, sasa hapa nimekupata maana post zako zilikuwa za baridi ka nini
Sasa huko nyuma makahaba walikuwa shng ngapi Boflo?
Mm huwa nachukua classic, wakati wa Mkapa kahaba 20 -30 thousand. Sasa hivi from 50- kilo +
 
Boflo umetisha..lol nilifikiria yale mambo yaleeeee
 
Last edited by a moderator:
jaman NYUMA raha!! asikwambie
mtu ..... NYUMA rahaaaa.... wachanipasifie, nisipo pasifia atapasifia
nani tena mwenye kuujua vizuri utamu wa NYUMA!!... hebu kumbuka hapo
NYUMA... soda ilikuwa tsh 250, sukari robo 150 mafuta ya kula robo 100,
mafuta ya taa robo 100, sabuni ya kipande 30, unga robo 150.... da!
maisha gani tena yatakuja kua kama yalivyokua enzi za NYUMA....

Ha! kumbe nyuma hiyooo! dah! Ulinichanganya ile mbaya!
 
jaman NYUMA raha!! asikwambie mtu ..... NYUMA rahaaaa.... wachanipasifie, nisipo pasifia atapasifia nani tena mwenye kuujua vizuri utamu wa NYUMA!!... hebu kumbuka hapo NYUMA... soda ilikuwa tsh 250, sukari robo 150 mafuta ya kula robo 100, mafuta ya taa robo 100, sabuni ya kipande 30, unga robo 150.... da! maisha gani tena yatakuja kua kama yalivyokua enzi za NYUMA....

Hata ww ndugu yng boflo huko nyuma nakumbuka hukuaga mnene kama hivi ulivyo sasa maana huko nyuma ulikuaga mwembamba sana,ushauri wangu kwako ni kwamba ujitahidi urudi kama ulivyokiwa huko nyuma.
 
mi nilijua Tigo kumbe ni zile simu za kuzungusha af jina lake limenitoka kidogo!
 
haaaaa nyuma asikwambie m2 nakumbuka nauli ya mwanafunzi ilikua 50 hivi sasa mambo sio kama nyuma nyuma raha sana
 
Back
Top Bottom