Jamaa kutambulisha ma-Ex girlfriend wake wote ukumbini

Naona wengi wanatoa povu.
Lakini swali la kujiuliza huyo mwanaume alikuwa hajawahi kuwa na mahusiano? Kama jibu ni hapana, je angekuwa na watoto akawatambulisha wao na wazazi wao, ingekuwaje?

Mi nadhani cha muhimu ni hisia za mtu na upendo wa dhati. Mambo mengine ni drama tu!
Sijakuelewa. Kwahiyo ka mtu ana watoto watatu kwa mama tofauti awatambulishe " mtoto wangu flani na mama ake wasimame" ...

Aah weee patachimbika. Hiyo sio heshima hata kidogo. Tena ni undezi uliopitiliza
 
Sijakuelewa. Kwahiyo ka mtu ana watoto watatu kwa mama tofauti awatambulishe " mtoto wangu flani na mama ake wasimame" ...

Aah weee patachimbika. Hiyo sio heshima hata kidogo. Tena ni undezi uliopitiliza
We kufanya hivyo Ni ngumu hata kualika kwanza Ni kazi ndugu , huyo mama hawezi kuja kwanza , hata watoto wakiwepo kuwatambulisha Ni ujinga.
 
Last week Kuna harusi moja, niliitafuta clip yake nikaipata.

Bwana harusi amewatambulisha ex wake ukumbini, lakini aliwaomba wasisimame, hi inaonesha aliwaharika kwenye sherehe.

Bwana harusi huyo alimuuliza mke wake(Bibi harusi) Kama atakuwa amemkwanza lakini alisema hapana,
Kitu hiki kiliwafanya watu waanze kuwa na wasiwasi kama Bwana harusi ndani ya ndoa atakuwa mwaminifu, watu wanaona Kama Bibi harusi atashuhudia mengi ndani ya ndoa. Ila jamaa alikuwa hana wasiwasi kabisa.



Hivi Ni sahihi kweli kuwatambulisha ex wako ukumbini?



Ati Babu Big Sam....!!! Asprin

Huyu alipita jando la ukaguzi kweli...!???

Au alikuwa mtoro....!

Halafu sauti ya migombani hii...!😅😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom