Crazy Ex-Girlfriend is an American romantic musical comedy-drama television series that premiered on October 12, 2015 on The CW and ran for four seasons, ending on April 5, 2019. The series was created by Rachel Bloom and Aline Brosh McKenna, and stars Bloom in the lead role, Rebecca Bunch, a lawyer who moves from New York City to West Covina, California to pursue her high school boyfriend.
Throughout its four-season run, the show consistently drew low ratings while receiving rave reviews from critics. It is one of the lowest-rated shows in television history to be renewed through four seasons by its parent network.
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.
Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya...
Huyu binti niliwahi kuanzisha nae mahusiano dakika za mwisho mwisho wakati nakaribia kufanya mtihani wa kumaliza mwaka wa tatu chuoni (UE)
Wakati naingia nae kwenye mahusiano yeye alikua anasoma level ya certificate na mimi nilikua namalizia mwaka wa mwisho wa degree yangu ya kwanza.
Baada ya...
Najua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu
Moya kwa moya kwenye mada.
Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua
Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi...
Last week Kuna harusi moja, niliitafuta clip yake nikaipata.
Bwana harusi amewatambulisha ex wake ukumbini, lakini aliwaomba wasisimame, hi inaonesha aliwaharika kwenye sherehe.
Bwana harusi huyo alimuuliza mke wake(Bibi harusi) Kama atakuwa amemkwanza lakini alisema hapana,
Kitu hiki...
Mabibi na mabwana,
Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu...
Kwema ndugu zangu?
Jamani haya maisha yaacheni tu yaitwe maisha. Kuna sehemu nina kabiashara kangu ka kuzugia ili siku ziende hapa mjini.
Sasa kikawaida asubuhi huwa namuacha kijana wangu anasimamia haka kabiashara then jioni kama hivi nikiwa nimetoka kwenye mishe zangu zingine naungana na...
Imetokea tu..mmekutana baa
Wewe meza hii na yeye meza ya pembeni...dj akipiga wimbo gan utamshukuru sana..tena ikiwezekana utaimba kwa sauti/au kucheza kwa madoido
Tuliachana kwa sababu zenye mashiko.
Ila haishi kutuma text za kunijulia hali, Mara ohhh nimemiss ile sehemu tulipokuwa tuna kunywa vinywaji, mara aanze kunitumia text kuhusu rafiki zake ambao niliokuwa nikiwafahamu pia. Majuzi kanilipia kadi ya harusi ya mmoja wa ndugu zake ety anataka...
Kitanda changu ni nne kwa sita, mke wangu aisee ana staha sana. Kinachofurahisha Zaidi ukimshika mgongo nywele zinasisimka, ukimshika paja linatelezaa tu, ukimnong’oneza mpaka nywele za kichwani zinasimama, ukimbinya hata sauti inabadilika “mm m-mm-e wangu” Ukimaliza anashukuru na siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.