Ahakikishe anahudhuria clinic kwa ajili ya afya njema ya mama na mtoto. Pia kwa wakati huu aanze kununua mahitaji muhimu mapema kama mabeseni, vitaulo n.kSio poa,siku zinavyozidi kwenda,mama mkwe nae tumbo linazidi kuongezeka.
Ile kitu ina mesa enzake uwezi jizuia nayo nakwambia ukwel mamiloo ina nguvu za ajabu hata hivyo haikatox haikatai ametokea wife sio Mimi hata hvyo ntanzama hapo kwa fasi ya duasi ya papuchi Mara moko moko nisigundulikeHahaaaa, mnajiendekeza tuu unashindwa kweli kujizuia kwamba hata kama anavutia ni mama mkwe ukaogopa, wanaume nyiee.kuchungulia sehemu za siri alizotokea mkeo![]()
![]()
Lakini ujumbe umefika kama lile neno NAIBU RAISIUnatumia tecno wewe si buree mbn una haraka ya kuandika kama mkojo wa asubuh ?
Polee usimind ni utani.
Ile kitu ina mesa enzake uwezi jizuia nayo nakwambia ukwel mamiloo ina nguvu za ajabu hata hivyo haikatox haikatai ametokea wife sio Mimi hata hvyo ntanzama hapo kwa fasi ya duasi ya papuchi Mara moko moko nisigundulike
Huyo jamaa ni soro kabisa mon'goo anajisahau mpaka anatia mimba
babilai, hicho kiarusha mmh sijaelewaa, ila fresh man zinazomeza yenzie zipo kibao huko unataka kuifata mpaka ya mama mkwe, shamefulAargh sina cha kumshauri apambane tu na hali yake kama alivokua anapambana na sehemu alizotokea mkeweImeshatokea mpe ushauri jamaa,

Kama Ni khalifa watangaze ndoa mke wa pili.Utashangaa na itakushtaajabisha lakini ndio yametokea.
Huyu brother mke wake ni mtu wa Tanga ,na yeye ni mtu wa Kaskazini,ila maisha yake ni Darslam.
Ni kipindi kirefu tangu alivyo oa,hakufika kwa wakwe zake hii ni kutokana na jamaa kuwa busy na kazi.
Kutokana na kipindi kirefu mama kutomuona binti yake aliamua kufunga safari ya kwenda Dar kuwasalimia.Na hapo ndipo mambo yakabadilika.Mama akawa amempenda mkwe wake na kijana nae kashindwa kuvumilia wakajikuta wamekuwa wapenzi.Mapenzi yamenoga mama katiwa mimba na Mama kwenda Tanga hataki.Mke bado hajashtukia mchezo.
Tumpe ushauri huyu ndugu yetu.mimi binafsi nimeshindwa chakumshauri ndio maana nimelileta kwenu.
Nani malaya kati ya hao wawili?Apambane na umalaya wake shetani mkubwaaaa
Na ujanja wako wote umeinywa hii chai ya baridi? Hii hadithi hata Shigongo hawezi kuichapisha kwenye magazeti yake ya udakuAargh sina cha kumshauri apambane tu na hali yake kama alivokua anapambana na sehemu alizotokea mkewe![]()
![]()
Teeh punguza hasiraaApambane na umalaya wake shetani mkubwaaaa
Ameninywesha aisee, hii Chai bila sukari ,mjanja yeyeeNa ujanja wako wote umeinywa hii chai ya baridi? Hii hadithi hata Shigongo hawezi kuichapisha kwenye magazeti yake ya udaku

Pole mwaego. Siku nyingine uwe unanistua nihakiki kabla hujainywa bila shurutiAmeninywesha aisee, hii Chai bila sukari ,mjanja yeyee![]()
![]()
Pole mwaego. Siku nyingine uwe unanistua nihakiki kabla hujainywa bila shuruti
,vijana wanatunywesha bibi zao Chai ,ntakua nakwambia mkuuMimi sio "mkuu" mimi ni "babu". Uwe na nidhamu we mjukuu![]()
,vijana wanatunywesha bibi zao Chai ,ntakua nakwambia mkuu
Hahaaa,sawa babu kijanaaMimi sio "mkuu" mimi ni "babu". Uwe na nidhamu we mjukuu