Jamaa kampa mimba Mama Mkwe,

Jamaa kampa mimba Mama Mkwe,

Atamwita mwanaye atakayezaliwa Mwana mkwe. Na mtoto atamwita Baba Mkwe.. Mkewe atamwita mtoto wa Mama Mwanangu mdogo wangu
 
Atamwita mwanaye atakayezaliwa Mwana mkwe. Na mtoto atamwita Baba Mkwe.. Mkewe atamwita mtoto wa Mama Mwanangu mdogo wangu
Sio poa,siku zinavyozidi kwenda,mama mkwe nae tumbo linazidi kuongezeka.
 
Hahaaaa, mnajiendekeza tuu unashindwa kweli kujizuia kwamba hata kama anavutia ni mama mkwe ukaogopa, wanaume nyiee.kuchungulia sehemu za siri alizotokea mkeo
Ile kitu ina mesa enzake uwezi jizuia nayo nakwambia ukwel mamiloo ina nguvu za ajabu hata hivyo haikatox haikatai ametokea wife sio Mimi hata hvyo ntanzama hapo kwa fasi ya duasi ya papuchi Mara moko moko nisigundulike

Huyo jamaa ni soro kabisa mon'goo anajisahau mpaka anatia mimba
 
Ushetani mwingine mpk shetani mwenyewe anauogopa
 
Ile kitu ina mesa enzake uwezi jizuia nayo nakwambia ukwel mamiloo ina nguvu za ajabu hata hivyo haikatox haikatai ametokea wife sio Mimi hata hvyo ntanzama hapo kwa fasi ya duasi ya papuchi Mara moko moko nisigundulike

Huyo jamaa ni soro kabisa mon'goo anajisahau mpaka anatia mimba
babilai, hicho kiarusha mmh sijaelewaa, ila fresh man zinazomeza yenzie zipo kibao huko unataka kuifata mpaka ya mama mkwe, shameful
 
Utashangaa na itakushtaajabisha lakini ndio yametokea.
Huyu brother mke wake ni mtu wa Tanga ,na yeye ni mtu wa Kaskazini,ila maisha yake ni Darslam.
Ni kipindi kirefu tangu alivyo oa,hakufika kwa wakwe zake hii ni kutokana na jamaa kuwa busy na kazi.

Kutokana na kipindi kirefu mama kutomuona binti yake aliamua kufunga safari ya kwenda Dar kuwasalimia.Na hapo ndipo mambo yakabadilika.Mama akawa amempenda mkwe wake na kijana nae kashindwa kuvumilia wakajikuta wamekuwa wapenzi.Mapenzi yamenoga mama katiwa mimba na Mama kwenda Tanga hataki.Mke bado hajashtukia mchezo.

Tumpe ushauri huyu ndugu yetu.mimi binafsi nimeshindwa chakumshauri ndio maana nimelileta kwenu.
Kama Ni khalifa watangaze ndoa mke wa pili.
 
Back
Top Bottom