Jamaa kampa mimba Mama Mkwe,

Jamaa kampa mimba Mama Mkwe,

Mama mkwe below 45 akijichetua kwanini asiliwe sasa?, si ndio kuja kuitwa mwanaume wa Dar. Piga mzigo labda wametumana na mwanaye wakujaribu uwezo Mkuu
 
Utashangaa na itakushtaajabisha lakini ndio yametokea.
Huyu brother mke wake ni mtu wa Tanga ,na yeye ni mtu wa Kaskazini,ila maisha yake ni Darslam.
Ni kipindi kirefu tangu alivyo oa,hakufika kwa wakwe zake hii ni kutokana na jamaa kuwa busy na kazi.

Kutokana na kipindi kirefu mama kutomuona binti yake aliamua kufunga safari ya kwenda Dar kuwasalimia.Na hapo ndipo mambo yakabadilika.Mama akawa amempenda mkwe wake na kijana nae kashindwa kuvumilia wakajikuta wamekuwa wapenzi.Mapenzi yamenoga mama katiwa mimba na Mama kwenda Tanga hataki.Mke bado hajashtukia mchezo.

Tumpe ushauri huyu ndugu yetu.mimi binafsi nimeshindwa chakumshauri ndio maana nimelileta kwenu.
duuh ila maisha haya yanakoelekea yaani hata kumuonea huruma mwanae aliyemzaa..maana hapo aliyemuanza ni mama mkwe
 
Jamaa anaenda kupata mtoto ambaye atamuita baba mkwe
Sio kwamba jamaa atapata mtoto wake na shemeji pia?

Mtoto atakuwa na baba yake ambae ni shemeji yake pia.

Mke atakuwa na mume ambae ni baba yake wa kambo. Pia atakuwa na mdogo wake ambae ni mtoto wake wa kambo pia.

Hii ni 'incest'.
 
Kuna vitu ukishindwa kusikitika unacheka kwa uchungu.

Sasa wakiwa kwenye umalaya mama mkwe alikuwa analia vip?...anamuita baby, my love, mwanangu ama?
Naona unajiuliza maswal mengi mkuu,,ha ha ha itakua alikua anamuita baby mkwe
 
Binti alijiponzaa kumhadithiaa mamaye utukutu wa mmewe mama kaonaa isiwe tabuuuuu ngojaaa ajaribuuu
 
Utashangaa na itakushtaajabisha lakini ndio yametokea.
Huyu brother mke wake ni mtu wa Tanga ,na yeye ni mtu wa Kaskazini,ila maisha yake ni Darslam.
Ni kipindi kirefu tangu alivyo oa,hakufika kwa wakwe zake hii ni kutokana na jamaa kuwa busy na kazi.

Kutokana na kipindi kirefu mama kutomuona binti yake aliamua kufunga safari ya kwenda Dar kuwasalimia.Na hapo ndipo mambo yakabadilika.Mama akawa amempenda mkwe wake na kijana nae kashindwa kuvumilia wakajikuta wamekuwa wapenzi.Mapenzi yamenoga mama katiwa mimba na Mama kwenda Tanga hataki.Mke bado hajashtukia mchezo.

Tumpe ushauri huyu ndugu yetu.mimi binafsi nimeshindwa chakumshauri ndio maana nimelileta kwenu.
Mimi nashauri weka picha ya huyo mama mkwe ili nitoe ushauri. Usije kutaa mam mkwe. Alikuwa mtam zaid
 
Mama amkwe awe mke wa pili, na kama wametokea tanga naimani ni wale wa mnyazi-mungu
 
Inaonekana huyo mama ndo alimtega jamaa ,haingii akilin Kwa mwanaume unaejielewa uanze kumtongoza mama mkwe wako si rahisi kabisa.
 
Back
Top Bottom