Jamaa kampa mimba Mama Mkwe,

Jamaa kampa mimba Mama Mkwe,

Kala kuku na mayai yake ,mshikkaji mkali.
 
Apambane na umalaya wake shetani mkubwaaaa

Ushetani sababu ya kuzini? We umezini mara ngapi? Kuzini ni kuzini tu haijalishi umezini na mama mkwe ama na huyo basha wako wa kila siku. Yaani watu mnahalalisha kuzini na watu wengine inaruhusiwa ila ukizini na ndugu wa karibu ni dhambi kubwa. Zinaa ni zinaa tu, acheni. No matter umezini na nani?
 
Ile kitu ina mesa enzake uwezi jizuia nayo nakwambia ukwel mamiloo ina nguvu za ajabu hata hivyo haikatox haikatai ametokea wife sio Mimi hata hvyo ntanzama hapo kwa fasi ya duasi ya papuchi Mara moko moko nisigundulike

Huyo jamaa ni soro kabisa mon'goo anajisahau mpaka anatia mimba
aisee umenchanganya kidogo..mkuu pande za Arusha nini huko baba la baba
 
Ushetani sababu ya kuzini? We umezini mara ngapi? Kuzini ni kuzini tu haijalishi umezini na mama mkwe ama na huyo basha wako wa kila siku. Yaani watu mnahalalisha kuzini na watu wengine inaruhusiwa ila ukizini na ndugu wa karibu ni dhambi kubwa. Zinaa ni zinaa tu, acheni. No matter umezini na nani?
Uko sahihi.
 
Utakuta mama mkwe bado mbichi kijana anavutia kama kasichana kweny dp yako unashindwa kujizuia wanaume tunapitia mengi nyie hamjui tu
Hapana hatupitii mengi ila tunajichangaya wenyewe,wanaume walio wengi hawapendi kutumia nguvu nyng ktk kutongoza ndio maana utaskia tunatoka na dada wa kazi mara mdogo mtu,jiulize dada wa kazi anaanzaje kukunyima kojoleo?au shemeji? Sasa imeadvance hadi kwa maza mkwe huyo ni kwamba alijichetua jamaa akampimia akaona anafaa kwa matumizi akatafuna. Tuache kupenda easypick zitatugharimu ndg zangu kikubwa tupunguze mazoea na hawa ndg wa ukeni.
 
Ni kweli kabisa mkuu
Hapana hatupitii mengi ila tunajichangaya wenyewe,wanaume walio wengi hawapendi kutumia nguvu nyng ktk kutongoza ndio maana utaskia tunatoka na dada wa kazi mara mdogo mtu,jiulize dada wa kazi anaanzaje kukunyima kojoleo?au shemeji? Sasa imeadvance hadi kwa maza mkwe huyo ni kwamba alijichetua jamaa akampimia akaona anafaa kwa matumizi akatafuna. Tuache kupenda easypick zitatugharimu ndg zangu kikubwa tupunguze mazoea na hawa ndg wa ukeni.
 
Kuna vitu ukishindwa kusikitika unacheka kwa uchungu.

Sasa wakiwa kwenye umalaya mama mkwe alikuwa analia vip?...anamuita baby, my love, mwanangu ama?😀😀😀
vile watanga nasikia wanajua "kulia" hahahaahhahah
 
Kuna vitu ukishindwa kusikitika unacheka kwa uchungu.

Sasa wakiwa kwenye umalaya mama mkwe alikuwa analia vip?...anamuita baby, my love, mwanangu ama?😀😀😀
hivi hata magari mazee yanatumia oil?😎
 
Wengi wachangiaji wanajibu Kwa jazba sitegemei mleta mada atapata msaada.Nafikiri tulia Mama mkwe akifungua atasema alipewa mimba na rafiki yake wa zamani Kwa hiyo maisha yaendelee.Nani ya kumwuliza zaidi Mama mkwe! Siri ubaki nayo mpaka Siku ya kiyama
 
Back
Top Bottom