rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
yule jamaa sielewi jina lake,lakini Hando anaanzisha kipindi vizuri na tunapenda kusikiliza inapofika wakati wa magazeti huyu kilaza anayesoma magazeti anakuja na kama kuna habari ya kuhusu chadema anaisoma kwa madharau wazi wazi kabisa!sauti yake inaonyesha naye yupo kwenye dhiki kama sisi sasa sielewi kwa nini alete madharau kwa chadema walio amua kuleta mabadiliko,,ovyo kabisa!