Jaji Werema akipona katika hili la IPTL natembea uchi

Jaji Werema akipona katika hili la IPTL natembea uchi

My friend nchini ya utawala wa prof Jk akuna atakae wajibishwa, Kumbuka baruwa kutoka kwa Jk kwenda kwa gavana wa BOT ya kuidhinisha Malipo.
 
My friend nchini ya utawala wa prof Jk akuna atakae wajibishwa, Kumbuka baruwa kutoka kwa Jk kwenda kwa gavana wa BOT ya kuidhinisha Malipo.
Na haiwezekani mtu awajibishwe kwa kelele za mitandaoni
 
Naapa kwamba ikiwa Jaji Werema atanusurika kuangukiwa na rungu kufuatia skandali ya UFISADI wa ESCROW, nitatembea uchi barabarani kutoka nyumbani kwangu Pugu hadi Kivukoni.

Nimemkamia sana Werema kuliko wahusika wengine kwa sababu ya kiburi chake na kwa kuwa ameisababishia serikali hasara kubwa zaidi ukilinganisha na mafisadi wenzake waliohusika katika skandali nzima. Sababu ya pili ya kumkamia huyu MWIZI inatokana na jinsi alivyokuwa akimkomalia Mh Kafulila na kumuita TUMBILI hadi mishipa inamtoka na macho kuwa mekundu huku akijua kwamba ameiibia serikali mabilioni ya shilingi. Yaani wananchi wanakufa kama nzige mahospitalini kwa sababu serikali haina fedha za kununulia dawa wakati tumbili huyu ameipotezea serikali mabilioni ya shilingi!

Ndugu watanzania, endapo bunge halitamuwajibisha Werema na baadaye Profesa Kikwete kumfuta kazi na serikali kumfunga jela, sote tuandamane uchi kwenda Dodoma tukalichome moto jengo la bunge. Hakuna haja ya kuwepo kwake ikiwa haliwezi kumuwajibisha huyu MWIZI.

:israel:

Ndiyo shida ya Watanzania inapoanzia hapa. Inaelekea hujajifunza chochote katika mchakato wa Katiba mpya kupitia bunge maalum la Katiba.
 
Hivi wakuu, wakati Werema akiwa jaji high court aliwahi kumhukumu kesi yoyote? Nani mwenye CV atupie hapa. Maana kuna wanapewa vyeo ili waje watumike!
 
mi nitakusapoti kiongozi maana werema ni mbabe sana
 
Jaji werema kupigwa chini sio ishu, kwani hata Chenge alipigwa chini baada ya kugundulika dhahiri kuwa kachukua vijisenti, leo hii NDIO MWANDISHI WA KATIBA MPYA!! Kibongo bongo bora werema aendelee tu hapo hapo kwani anaweza kutoka hapo akapewa nafasi itakayokuudhi zaidi.

nimesema huyo mwizi afukuzwe kazi na afungwe jela. hakuna haja ya kuwaonea huruma WEZI. katika skandali hii lazima WEZI wote watenganishwe na TUMBILI ili haki itendeke.
 
Halafu huo uchi tukiutembeza uchi utatusaidiaje.

Mbona wakati wa sakata la chenge hukutembea uchi ulitembea kwa miguu kama chenge alisalimika itakuwa werema kutosalimika!!

ndio tunataka sasa huu upumb@vu wa kulindana tuukomeshe. kuna msukule mmoja unaitwa FaizaFoxy ambao ulikuwa ukitetea sana wizi huu lakini sasa siuoni hapa kilingine au misukule wenzake akina mjepo, MSALANI, lusungo, Ritz, MwanaDiwani na misukule wengine kama hao. hebu njoo hapa muwatetee hao wezi wenzenu.
 
Last edited by a moderator:
Na yule aliyesema sijui kafulila sijui ni zitto kama kweli mwanaume aje aongee nje ya bunge ni nani vile..maswa?? Nae atapona kweli?..
 
Mwenye kiherehere ni wewe uliyeapa kwa masaibu ya jaji Werema. Tena ukaenda mbali zaidi na kumwita mwizi...Lakini hukuangalia dakika 45 za ITV ukamwona unayemshabikia anavyobabaika kujibu hoja... Nikwambie tu kuwa MWISHO WA UBAYA AIBU....na itawakuta
Mbona una kiherehere kama kuku anayetafuta kiota cha kutagia?
 
system nzima ni corrupt,hata wengi wao, vyeo wamevipata kwa kuonga au namjua nani,yatapindishwa majibu mpaka mtashangaa,
 
Naapa kwamba ikiwa Jaji Werema atanusurika kuangukiwa na rungu kufuatia skandali ya UFISADI wa ESCROW, nitatembea uchi barabarani kutoka nyumbani kwangu Pugu hadi Kivukoni.

Nimemkamia sana Werema kuliko wahusika wengine kwa sababu ya kiburi chake na kwa kuwa ameisababishia serikali hasara kubwa zaidi ukilinganisha na mafisadi wenzake waliohusika katika skandali nzima. Sababu ya pili ya kumkamia huyu MWIZI inatokana na jinsi alivyokuwa akimkomalia Mh Kafulila na kumuita TUMBILI hadi mishipa inamtoka na macho kuwa mekundu huku akijua kwamba ameiibia serikali mabilioni ya shilingi. Yaani wananchi wanakufa kama nzige mahospitalini kwa sababu serikali haina fedha za kununulia dawa wakati tumbili huyu ameipotezea serikali mabilioni ya shilingi!

Ndugu watanzania, endapo bunge halitamuwajibisha Werema na baadaye Profesa Kikwete kumfuta kazi na serikali kumfunga jela, sote tuandamane uchi kwenda Dodoma tukalichome moto jengo la bunge. Hakuna haja ya kuwepo kwake ikiwa haliwezi kumuwajibisha huyu MWIZI.

:israel:

my dress my choice
 
Mwenye kiherehere ni wewe uliyeapa kwa masaibu ya jaji Werema. Tena ukaenda mbali zaidi na kumwita mwizi...Lakini hukuangalia dakika 45 za ITV ukamwona unayemshabikia anavyobabaika kujibu hoja... Nikwambie tu kuwa MWISHO WA UBAYA AIBU....na itawakuta

katika hii skandali lazima kila jiwe lipinduliwe. hakuna panya hata mmoja atakayesalia kihengeni.
 
Naapa kwamba ikiwa Jaji Werema atanusurika kuangukiwa na rungu kufuatia skandali ya UFISADI wa ESCROW, nitatembea uchi barabarani kutoka nyumbani kwangu Pugu hadi Kivukoni.

Nimemkamia sana Werema kuliko wahusika wengine kwa sababu ya kiburi chake na kwa kuwa ameisababishia serikali hasara kubwa zaidi ukilinganisha na mafisadi wenzake waliohusika katika skandali nzima. Sababu ya pili ya kumkamia huyu MWIZI inatokana na jinsi alivyokuwa akimkomalia Mh Kafulila na kumuita TUMBILI hadi mishipa inamtoka na macho kuwa mekundu huku akijua kwamba ameiibia serikali mabilioni ya shilingi. Yaani wananchi wanakufa kama nzige mahospitalini kwa sababu serikali haina fedha za kununulia dawa wakati tumbili huyu ameipotezea serikali mabilioni ya shilingi!

Ndugu watanzania, endapo bunge halitamuwajibisha Werema na baadaye Profesa Kikwete kumfuta kazi na serikali kumfunga jela, sote tuandamane uchi kwenda Dodoma tukalichome moto jengo la bunge. Hakuna haja ya kuwepo kwake ikiwa haliwezi kumuwajibisha huyu MWIZI.

:israel:

Mkuu hatujafika huko. Mbona kwa Compaore watu hawakuandamana uchi lakini walitenda?

 
Toka nchi ipate Uhuru hawa akina Werema na Maswi wake ndiyo wakurya wa kwanza kuliibia na kubainika kuwaibia Watanzania kiasi kikubwa cha fedha, kwa kweli wamewahaibisha sana wakurya na watu wote wa Mkoa wa Mara.

Shame on them!
 
Mwenye kiherehere ni wewe uliyeapa kwa masaibu ya jaji Werema. Tena ukaenda mbali zaidi na kumwita mwizi...Lakini hukuangalia dakika 45 za ITV ukamwona unayemshabikia anavyobabaika kujibu hoja... Nikwambie tu kuwa MWISHO WA UBAYA AIBU....na itawakuta[/

kitendo cha kuongeza mkataba escrow kuwa miaka 20 ijayo kwa malipo ya mil 400 per day capcity charge hiyo ni dalili namba moja ya rushwa ilitumika ukitegemea wanategemea kutumia bomba la gesi la serikali kufikisha hiyo ges dar,na kugawa hizo hela inamaana hela zilikuwa za umma,zingekuwa za mwekezaji asingeweza kugawa hela bure,na kitendo cha kampuni mbia kununuliwa kwa mil 6 yenye thamani ya mabillion,ni wizi wa moja kwa kwa moja,wapi pa kutokea kuwa hawausiki
 
Mkuu hatujafika huko. Mbona kwa Compaore watu hawakuandamana uchi lakini walitenda?


mkuu hapa tz viongozi wetu wana roho ngumu. bila kwenda uchi hawawezi kutuelewa.
 
Tz kila kitu kinawezakana,atasaafishwa ataendelea kula bata.
 
My friend nchini ya utawala wa prof Jk akuna atakae wajibishwa, Kumbuka baruwa kutoka kwa Jk kwenda kwa gavana wa BOT ya kuidhinisha Malipo.

Ni kweli utawala uliopo madarakani ni dhaifu sana na wengi wao ni mafisadi wakubwa na hawawezi kuwajibishana. Ila la JK kuandika barua benki kuu kuidhinisha malipo sio kweli na sio kazi yake ingawa inawezekana aliujua mchongo mzima na angeweza kuzuia utekelezwaji wake.

Hivyo hivyo kwa waziri mkuu bw. Pinda na wote hao ndio walinzi wa mali za umma. Wananchi wataendelea kuibiwa na viongozi wao, kunyanyaswa kuuzwa kiholela kwa ardhi zao kwa wawekezaji uchwara n.k. hadi watakapojua njia halali za kuchukua.
 
Back
Top Bottom