Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Magufuli katiba sio kipaumbele changu...Rais Samia Suluhu Hassan katiba mpya msubiri kidogo
Magufuli katiba sio kipaumbele changu...Rais Samia Suluhu Hassan katiba mpya msubiri kidogo
Jaji Warioba aongezewe ulinzi,kwa yale madini ya 45 nimempenda bure atengezewe na sana kila mkoaWanaandaa ajali uko wapo busy kutafuta mbuzi wa kafara
Yaani bila katiba sijui ataongea nini Samia 2025
Ccm endeleeni kucheza tu 2025 hamtoamini kitakachowakuta
Huyu mzee atakufa kifo Chema. Anapenda HakiJaji Warioba akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili sheria nyingi katika kila bunge zinaonesha umuhimu wa Katiba Mpya...
Samahani jamani hii Irudiwe.....irudiwe tena sisi ambao hatukusikia tusikikizeJaji Warioba aongeweze ulinzi,kwa yale madini ya 45 nimempenda bure atengezewe na sana kila mkoa
Matajiri wameshasema wachuuza dagaa huku Kubaigwa wanapinga😅😅😅Warioba....katiba mpya Ni muhimu
Werema ...katiba mpya ni muhimu
Diallo.........miwka 5 tumepita kwenye giza kinene. Tulichagua mtu aliyekuwa na faili Milembe.
Kama hawa wazee wamesema haya wewe mwanaccm msafisha viatu huko kwa Mtogole na Nanjilinji ni nani hadi upinge katiba mpya??
Lakini ameshasema wenye masikio wamesikiaKesho akikanusha Haya BAVICHA mtamtukana
Ukishakuwa sio mchumia tumbo basi akili zinaishi milele. Sio kama akina Mwigulu na KigwangalaHivi huyu mzee nikweli hua anavuta sigara
Inawezekana akiwa anavuta hukumbuka mengi....
Huyu Alindwe sanaWarioba kaongea vizuri sana tena bila ushabiki, kawaeleza ukweli wanasiasa wote wa upinzani na chama tawala
1. Kawashangaa wanasema eti katiba siyo kipaumbele...
"Katiba ni muhimu sijabadili mawazo yangu...tumefika hatua kubwa ya kuwa na katiba mpya, sheria ilitungwa ya kupata maoni ya wananchi, Tume ikaundwa ilizunguka nchi nzima kupata maoni ya wananchi...kilichobaki ni kupata idhini ya wananchi, sasa hatuwezi kuishia hapa".warioba. https://t.co/gG4oJSy3f1
Pumbavu huna akiliHata wewe mataga unataka katiba mpya?
Aache kuzuga huyu, alikuwa hopeless kwenye uongozi wake, alibebwa tu.
Huyu Alindwe sana
Kurupu!!
BAVICHA ndio nini?Kesho akikanusha Haya BAVICHA mtamtukana
Nchi imejaa watu wanafiki kama akina Polepole, Kabudi na Bashiru.Jaji Warioba akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili sheria nyingi katika kila bunge zinaonesha umuhimu wa Katiba Mpya.
Hata hivyo amesema ni muhimu kuwa waangalifu kwa kuwa Katiba Mpya haitaweza kutatua matatizo yote.
Ametolea mfano kuwa tunaweza kuwa na Tume nzuri ya Uchaguzi lakini bila kuwa na demokrasia katika vyama changamoto hazitakuwa zimetatuliwa.
Umeuliza swali la msingi sana, lkn CCM yetu tunajuana wenyeweHivi kwa nini ccm ndio kigugumizi na katiba mpya. Kwani hasa tatizo ni nini wakati mchakato ulikuwepo na sheria ipo
Sikiliza hapa:Jaji Warioba akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili sheria nyingi katika kila bunge zinaonesha umuhimu wa Katiba Mpya.
Hata hivyo amesema ni muhimu kuwa waangalifu kwa kuwa Katiba Mpya haitaweza kutatua matatizo yote.
Ametolea mfano kuwa tunaweza kuwa na Tume nzuri ya Uchaguzi lakini bila kuwa na demokrasia katika vyama changamoto hazitakuwa zimetatuliwa.
Utasikia kama kuna mtu anayo atuweke hapo,kutoka ccm ya Kina mzee Warioba hadi ccm ya wasijulikaSamahani jamani hii Irudiwe.....irudiwe tena sisi ambao hatukusikia tusikikize
Wewe usiyebebwa umeacha impact gani kwenye Taifa? Mtu katoa mchango mkubwa kwenye tasnia ya sheria Tz na duniani kote (Expert Law of the Sea) pengine ukiwa mtoto enzi hizo leo hii umekuta nchi inatawalika unaanza kukejeli tu waasisi.Aache kuzuga huyu, alikuwa hopeless kwenye uongozi wake, alibebwa tu.