Jaji Warioba: Kubadili sheria nyingi katika kila Bunge kunaonesha kuna umuhimu wa Katiba Mpya

Warioba....katiba mpya Ni muhimu
Werema ...katiba mpya ni muhimu
Diallo.........miwka 5 tumepita kwenye giza kinene. Tulichagua mtu aliyekuwa na faili Milembe.

Kama hawa wazee wamesema haya wewe mwanaccm msafisha viatu huko kwa Mtogole na Nanjilinji ni nani hadi upinge katiba mpya??
Matajiri wameshasema wachuuza dagaa huku Kubaigwa wanapinga😅😅😅
 
Jaji Warioba akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili sheria nyingi katika kila bunge zinaonesha umuhimu wa Katiba Mpya.

Hata hivyo amesema ni muhimu kuwa waangalifu kwa kuwa Katiba Mpya haitaweza kutatua matatizo yote.

Ametolea mfano kuwa tunaweza kuwa na Tume nzuri ya Uchaguzi lakini bila kuwa na demokrasia katika vyama changamoto hazitakuwa zimetatuliwa.
Nchi imejaa watu wanafiki kama akina Polepole, Kabudi na Bashiru.
 
Jaji Warioba akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili sheria nyingi katika kila bunge zinaonesha umuhimu wa Katiba Mpya.

Hata hivyo amesema ni muhimu kuwa waangalifu kwa kuwa Katiba Mpya haitaweza kutatua matatizo yote.

Ametolea mfano kuwa tunaweza kuwa na Tume nzuri ya Uchaguzi lakini bila kuwa na demokrasia katika vyama changamoto hazitakuwa zimetatuliwa.
Sikiliza hapa:


Warioba hatobaki salama na hiyo tume. Walishinikizwa na UKAWA tuwe eti na serkali 3 KWA SABABU WANZAZIBARI HAWATAKUBALI KUBADILISHA MAKOSA kwenye katiba yao kinyemela ya 1984. Yaani katiba "mpya" kumbe ni ya mabavu ya Wanzanzibar? Hili kalirudia tena jana. Kama ni serkali 3 kikwelikweli, je, Katiba ya Tanganyika itaandikwa lini? Na nani? Na wao je, kwani hawana mabavu? Ni Wazanzibari wote kweli? No, la hash. Ni kikundi cha masalia ya waliotokewa na Mapinduzi 1964. Uchaguzi umefanyika huru na wa haki mwaka 2015, Maalimu hakufikisha theluthi ya kura, watu wengi huku wanasema zamani CUF kumbe walikuwa wanaiba kura safari hii wamebambwa.
.
Vitu vyenyewe Katiba ya Zanzibar wala siyo vya msingi: kusema Zanzibar ni nchi "huru" (so what?), au mipaka ya mikoa na wilaya atapitisha Rais wa Zanzibar (atampataje RPC? Ya sasa inasema watashauriana na Rais wa Tanzania). Nothing of substance, mengine ni blabla, kwa mfano Zanzibar iwe na benki "kuu" yake. Maskini Warioba, walimtegeshea Waarabu na Wasaliti, wakijiita UKAWA, wakimsifia "maridhiano". Yeye anadiriki kusema "hatukuwahi kupiga kura, kila kitu tuliridhiana". Kweli? Haiwezekani. The only way Waarabu na Wasaliti wataridhia bila kura is when unavunja au kudhoofisha Muungano. Na limits za ubunge, na kumwajibisha mbunge, na kuumwa mbunge, yote yali,engwa kwa CCM, kuwafurahisha Wapinzani.

Ile Hotubaya Rais Kikwete kufungua Bunge Maalum imeingia kwenye historiacya ukombozi wa nchi hii.

Hii hapa:
 
Back
Top Bottom