Jaji Warioba: Kubadili sheria nyingi katika kila Bunge kunaonesha kuna umuhimu wa Katiba Mpya

Wewe usiyebebwa umeacha impact gani kwenye Taifa? Mtu katoa mchango mkubwa kwenye tasnia ya sheria Tz na duniani kote (Expert Law of the Sea) pengine ukiwa mtoto enzi hizo leo hii umekuta nchi inatawalika unaanza kukejeli tu waasisi.
Mchango gani? The guy is a loser, ndio sababu bado anahaha tu. His time is finished and no one will respect him.

BTW you never know the massive contribution I made for Tanzania.
 
Mchango gani? The guy is a loser, ndio sababu bado anahaha tu. His time is finished and no one will respect him.
Loser kivipi? Mtu kaitwa EU huko akaongoza mahakama za kimataifa na kasaidia kutungwa kwa sheria nyingi mnoo za kimataifa hasa kwenye law of the sea then unasema ni useless?? Have some respect..... His glory days zilikua enzi hizo ukiwa mtoto, now kaacha legacy mataifa mengi mnoo.

BTW you never know the massive contribution I made for Tanzania
It doesn't matter bado haikupi audacity ya kukejeli legacy ya Warioba....
 
Jaji Warioba akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili sheria nyingi katika kila bunge zinaonesha umuhimu wa Katiba Mpya.

Hata hivyo amesema ni muhimu kuwa waangalifu kwa kuwa Katiba Mpya haitaweza kutatua matatizo yote.

Ametolea mfano kuwa tunaweza kuwa na Tume nzuri ya Uchaguzi lakini bila kuwa na demokrasia katika vyama changamoto hazitakuwa zimetatuliwa.
Ni kwamba katiba iliyopo imeshachakaa, ila tunaipiga viraka juu ya viraka
 
Loser kivipi? Mtu kaitwa EU huko akaongoza mahakama za kimataifa na kasaidia kutungwa kwa sheria nyingi mnoo za kimataifa hasa kwenye law of the sea then unasema ni useless?? Have some respect..... His glory days zilikua enzi hizo ukiwa mtoto, now kaacha legacy mataifa mengi mnoo.


It doesn't matter bado haikupi audacity ya kukejeli legacy ya Warioba....
Warioba ndiye kiongozi mstafu pekee mwenye msimamo asiyegeuzwa na upepo
 
Loser kivipi? Mtu kaitwa EU huko akaongoza mahakama za kimataifa na kasaidia kutungwa kwa sheria nyingi mnoo za kimataifa hasa kwenye law of the sea then unasema ni useless?? Have some respect..... His glory days zilikua enzi hizo ukiwa mtoto, now kaacha legacy mataifa mengi mnoo.


It doesn't matter bado haikupi audacity ya kukejeli legacy ya Warioba....
Ndio mnavyozuga, ati kaitwa EU, upuuzi mtupu, mahakama ipi hiyo aliyoongoza EU? Tuanzie hapo! The guy is bogus.
 
Ndio mnavyozuga, ati kaitwa EU, upuuzi mtupu, mahakama ipi hiyo aliyoongoza EU? Tuanzie hapo! The guy is bogus.

International Tribunal for the Law of the Sea ipo chini ya UN na inapatikana Ujerumani. Warioba alikua Jaji tokea 1996- 2008.​


Have some respect.... Sidhani kama utaweza kufikia hta 10% ya legacy yake hata ufike 2050!!
 

International Tribunal for the Law of the Sea ipo chini ya UN na inapatikana Ujerumani. Warioba alikua Jaji tokea 1996- 2008.​


Have some respect.... Sidhani kama utaweza kufikia hta 10% ya legacy yake hata ufike 2050!!
What respect, you said ''Kaitwa EU? Sasa EU ndio UN? Wacha kamba unakurupuka na kuandika habari ambayo kwanza huijui then unadai respect, what respect? Kama ungekuwa mkweli usingeingiza EU. Tujadili mambo kwa fact sio kuokoteza na kumpamba mtu laghai ambaye anaendelea kushiba na kutunisha tumbo kwa pesa za walipa kodi ambao hakuwatende haki wakati wa uongozi wake. Katika viongozi wabovu Tanzania yeye ni mojawapo. Atulie ale pension yake ambayo sidhani kama ana deserve. Ati legacy, legacy my foot.
 
What respect, you said ''Kaitwa EU? Sasa EU ndio UN? Wacha kamba unakurupuka na kuandika habari ambayo kwanza huijui then unadai respect, what respect? Kama ungekuwa mkweli usingeingiza EU. Tujadili mambo kwa fact sio kuokoteza na kumpamba mtu laghai ambaye anaendelea kushiba na kutunisha tumbo kwa pesa za walipa kodi ambao hakuwatende haki wakati wa uongozi wake. Katika viongozi wabovu Tanzania yeye ni mojawapo. Atulie ale pension yake ambayo sidhani kama ana deserve. Ati legacy, legacy my foot.
UN ni superior Kwa EU so I actually underestimated his eminence! Mtu ameshakua Waziri Mkuu kwani Mwalimu hakuona wengine? Kastaafu ila bado kaitwa kuongoza mabadiliko ya katiba then anakuja lofa mmoja wa UVCCM (ambaye hata mtaani kwake hana alicho impact jamii yake) ku disqualify credibility ya Mzee Warioba.

U should be ashamed of urself, wivu na chuki kwa mtu aliekuzidi kila kitu kuanzia akili mpaka mchango kwenye jamii hautakusaidia lolote.
 
siandiki tittle.mana mtanielewa tuu.bunge letu kila kinachopelekwa bungeni kinapitishwa bila kujua madhara baadae ama changamoto watakazokutana nazo....wakidhani watanzania washazoea kupelekeshwa...na kujiamlia wao.leo KATIBA wanaichukulia kama mzigo kwao..wakati wanapitisha sheria bungeni warasimishe katiba maana yao ilikuwa nini.na why sahvi waione kama sio kipaumbelee????
 
Back
Top Bottom