kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,075
- 1,549
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.
- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.
Le Mutuz
WILIIAM jOHN MALECHELA.....MSANII UNAYEJIITA LE MUTUZ....
NAOMBA NIKUAMBIE NA TENA NIKUHAKIKISHIE KUWA HAUNA MORAL AUTHORITY YA KUFANYA MAJADILIANO NA MZEE WARIOBA SEMBUSE HILI LA KUJIBIZANA NA MZEE WARIOBA.......
WEWE KAZANA NA BIASHARA ZAKO NA TENA NAKUSHAURI UACHANE NA SIASA...WATU WANAOIPENDA TANZANIA WANAWEZA KUKUANGUSHIA KIBANO SAA YOYOTE...
NI VIZURI UKAJIFUNZA TABIA NJEMA..MZEE WARIOBA ANAWEZA PIA KUWA BABA YAKO...