Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

Kama ningepata dakika mbili za kuongea na warioba ningemshauri ajiuzulu,hizi kauli za bungeni na kina Bulembo hazina mwisho mzuri kwake,CCM wanatafuta nafasi muafaka wamkaange hizi kauli za mwanzo ni kupima kina tu lakini mwisho wa siku watamtia aibu ya kutosha yeye na tume yake,hii katiba inayotolewa maoni imeshakuwa ya kisiasa zaidi.
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz
mkuu pale pekundu kulikuwa na umuhimu wa jaji mstaafu, Mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Waziri Mkuu mstaafu kufanya hiyo kazi, kama ni kukusanya maoni tu hata mimi ningeweza. hapa ndipo CCM mnapokosea - mtahukumiwa vibaya na wananchi kwenye jambo hili kuweni makini.
 
Kama ningepata dakika mbili za kuongea na warioba ningemshauri ajiuzulu,hizi kauli za bungeni na kina Bulembo hazina mwisho mzuri kwake,CCM wanatafuta nafasi muafaka wamkaange hizi kauli za mwanzo ni kupima kina tu lakini mwisho wa siku watamtia aibu ya kutosha yeye na tume yake,hii katiba inayotolewa maoni imeshakuwa ya kisiasa zaidi.

Kama wewe umekata tamaa na mapambano ya kuidai Tanganyika huru na iliyo bora kwa Mwananchi kuishi ndani yake sawa unaweza kukaa kando tuachie sisi wenye uchungu na Tanganyika yetu tuendelee kuipigania tukitumia silaha zote.Sisi wenye uchungu na Tanganyika yetu bado tunamhitaji Jaji Warioba aendelee kuliongoza jahazi mpaka mwisho wa safari.Mapendekezo yaliyomo katika Rasimu ni safi na hayeegemei kwa Chama chochote cha siasa bali imezingatia maoni ya Watanzania walio wengi Nchini.CCM wasitake kulazimisha mambo kwani sio pekee yao ambao baadhi ya mapendekezo yalikataliwa na Tume ya Warioba hata CHADEMA,CUF,NCRR,TLP pia mapendekezo yao yalitupwa.
 
mkuu pale pekundu kulikuwa na umuhimu wa jaji mstaafu, Mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Waziri Mkuu mstaafu kufanya hiyo kazi, kama ni kukusanya maoni tu hata mimi ningeweza. hapa ndipo CCM mnapokosea - mtahukumiwa vibaya na wananchi kwenye jambo hili kuweni makini.

1. Kwenye Siasa kama kwenye Sheria na Uchumi kuna kitu kinaitwa the bottom line, ambayo katika ishu nzima ya Tume ya Warioba na Tume zingine zote zilizopita kazi yao ilikuwa ni kukusanya tu maoni ya wananchi na kutoa mapendekezo, ambao sio lazima yakubaliwe na waliounda kamati, ndio maana kuna Tume ilisema Wananchi wa Tanzania 80% hawataki vyama vingi vya siasa, lakini Serikali ya CCM ikaapuuza na kuruhusu Wapinzani. Narudia tena kazi ya Tume ya Warioba ni kukusanya tu maoni ya wananchi na kuyaweka pamoja na mapendekezo, lakini sio kutuamulia CCM kuhusu nini cha kufanya na katiba mpya.

2. Great kwamba umetaja vyeo vingi vilivyowahi kushikwa na Warioba katika Serikali yetu, nashangaa akiwa kwenye nafasi zote hizo ni nini kilimshinda kufanya haya ya Serikali tatu anayoyalilia sana sasa hivi wakati akiwa kwenye Tume ambayo haina nguvu yoyote kisheria ya kubadili Sheria? I mean ni kichekesho kikubwa sana, MWalimu alipokuwepo sikuwahi kusikia Warioba anataka Serikali tatu, sasa leo ameibukia wapi na hizi habari za Serikali tatu? Tunayemjua ni Kasaka Njelu peke yake ndiye aliyesimama kidete na kutaka Serikali tatu lakini sio Warioba, ni bora anyamaze na asubiri muda wake kwenye kamati ukiisha au ajiuzulu sasa na kutoa maoni yake kama sisi wananchi wengine.

Le Mutuz
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz
Ili Maccm waweze kuchakachua katiba sio??!!! na hatajiuzulu kamwe!!!!! Roll on Warioba watanzania tupo nyuma yako achana na hawa wapambe wa ccm waganga njaa kama huyu anayejiita Le Mutuz. Hivi kwani baba yako akishakuwa mwanasiasa ni lazima na wewe utokee humo humo??!! tafuta namna nyingine ya maisha kijana wewe tayari ni mtu mzima sasa achana na kutaka maisha marahisi kwa kutumia mgongo wa baba!!!!! hivi huwezi kujiuliza baba yako alipambana namna gani hadi hapo alipofika tena kwa kusimama kiume kwa miguu yake mwenyewe lakini wewe mwanaume mzima unakuwa parasite kwa mzee wako hadi leo???!!!
 
- tunaishi kwa Sheria sio kanuni, Sheria ipo wazi Warioba hana mamalaka ya kuwaamulia wananchi Katiba, ila anayo mamalaka ya kukusanya maoni yao na kuyaandika chini, Warioba hana mamlaka yoyote kikattiba ya kuwaambia eti Viongozi wa Saisa wakae chini kujadili tena Rasimu, Rasimu imeshaenda Bungeni imepitishwa na Wabunge wa Chadema na CCM, sasa inasubiri saini ya Rais iwe Muswaada na kujadiliwa na Wabunge,

- Labda nikukumbushe historia kidogo, kule USA ni Republicans ndio walioamua kupunguza mafao ya Marais wao kwa sababu ya wingi wao bungeni, na ni wao ndio walioamua kupunguza malipo ya welfare ya wananchi wao bila kujali uchache wa Democrats bungeni kwa sababu Sheria inasema ni majority ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria, CCM ndio wenye mamlaka ya mwisho kisheria ya jamhuri kuamua katiba mpya iweje sio Warioba na Chadema.

Le Mutuz

Ilikuwa bado kidogo nikupe like, lakini nilipofika hapa tu, basi nikaona WEWE HUJUI KITU!
 
Ili Maccm waweze kuchakachua katiba sio??!!! na hatajiuzulu kamwe!!!!! Roll on Warioba watanzania tupo nyuma yako achana na hawa wapambe wa ccm waganga njaa kama huyu anayejiita Le Mutuz. Hivi kwani baba yako akishakuwa mwanasiasa ni lazima na wewe utokee humo humo??!! tafuta namna nyingine ya maisha kijana wewe tayari ni mtu mzima sasa achana na kutaka maisha marahisi kwa kutumia mgongo wa baba!!!!! hivi huwezi kujiuliza baba yako alipambana namna gani hadi hapo alipofika tena kwa kusimama kiume kwa miguu yake mwenyewe lakini wewe mwanaume mzima unakuwa parasite kwa mzee wako hadi leo???!!!

- Ni maneno ya mtaani hayana anything to do na political reality ya bongo sasa hivi, Warioba na Chadema hawana nguvu kisheria ya kuandika Katiba mpya ila ni CCM tu yenye nguvu kisheria ya kuandika katiba mpya, Warioba na Chadema wanatakiwa kuomba huruma ya CCM ili katiba mpya labda iwe na mambo yao, lakini Sheria ya jamhuri ya Tanzania ipo wazi kwamba ni CCM tu wenye majority ndio wenye haki ya kuamua namna katiba mpya iwe!

- Pole sana mkuu, huu ndio ukweli wa mambo wacha kujaza maneno ya mtaani haya tunajadili the future of this nation sio mambo ya kijinga jinga ya mtaani, soma tema katiba utajua inasema wazi kwamba kwenye hili la katiba mpya ni CCM tu ndio wenye the final desicion on katiba mpya. Kama una tatizo na mimi na maisha yangu fungua thread yake, hii sio! ha! ha!

Le Mutuz
 
Ilikuwa bado kidogo nikupe like, lakini nilipofika hapa tu, basi nikaona WEWE HUJUI KITU!

- Sijui kitu really? Muswaada wa sasa umepitishwa bungeni na nani kama sio CCM, tuliza boli mkuu maana hujui kinachoendelea ni kwamba CCM tu ndio wenye haki ya kuamua katiba mpya iwe vipi, na habari ndio iyoooooo!! ha! ha1

Le Mutuz
 
Kama ningepata dakika mbili za kuongea na warioba ningemshauri ajiuzulu,hizi kauli za bungeni na kina Bulembo hazina mwisho mzuri kwake,CCM wanatafuta nafasi muafaka wamkaange hizi kauli za mwanzo ni kupima kina tu lakini mwisho wa siku watamtia aibu ya kutosha yeye na tume yake,hii katiba inayotolewa maoni imeshakuwa ya kisiasa zaidi.


Kujiuzuru kwa tume ya Jaji Warioba ni sawa na kuhujumu uchumi wa nchi.

Ninyi nyote mnaojifanya kushinikiza tume ijiuzuru ni wahujumu uchumi wa nchi
na wapinga maendeleo ya watanzania maskini waliomchagua Rais ambaye nae
aliiteua tume hiyo kwa niaba ya watu wote.


Wana CCM kuendelea kumchokonoa Mzee Warioba na tume yake ni sawa na kuendesha
kampeni za kupunguza kura 2014-2015.

Waache kazi za kitaalamu zifanywe na wataalamu na zile kazi za porojo zifanywe na
wenye nazo pasipo kutafuta visingizio vya kazi za wengine kutafuna ruzuku za chama/vyama
kuzungukazunguka kila mahali bila hoja za msingi kwa watu.
 
- hatuwezi kuongelea rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema bulembo ni sawa sawa kwamba warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, warioba kama mwananchi wa tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- narudia tena warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu katiba, hatuwezi kujadili rasimu sasa maana tayari rasimu ipo bungeni inasubiri saini ya rais twende kwa mbele.

Le mutuz

mwambie aliyempa kazi amfukuze!
 
- Mbona Mwenyekiti wako Chadema ana elimu ndogo sana, toa boriti kwako kwanza mkuu!!, halafu PhD ya Dr. Slaa ni ya wapi eti? ha1 ha! h!

Le Mutuz
...Dr Anatoa mihadhara Universities huko Marekani. JK anakumbatiwa na kupewa PhD za kumwaga huko mMarekani kama shukrani za dhahabu wanazobeba Tz.
 
Hivi Malecela unatumiaga Cigar kubwa au una-comment wakati ukiwa nyingi kichwani?Maana wewe hata ukielekezwa mara ngapi bado hutaelewa.Nahisi hao walimu waliokufundisha walipata shida sana na wewe.Mtu una bichwa kubwa kama nyumbu lakini zito kuelewa.
Tunarudia tena yale mapendekezo yaliyomo katika Rasimu sio mapendekezo binafsi ya Jaji Warioba kama unavyofikiri,Yale na maoni ya Watanzania wote.Alichofanya yeye ni kuzichukua zile hoja zilizotokana na kundi kubwa zaidi la watoa maoni na kuziingiza katika Rasimu.Kwahiyo kilichomo katika hiyo Rasimu kinatokana na Watanzania wengi zaidi.Si unajua tena sisi Wananchi ndio wamiliki halali wa hii Katiba na siyo nyinyi Wanasiasa.Tunachokifanya hapa ni kuwaandikia Mkataba mpya ili tukiwapa Nchi mfanye yale tutakayowaandikia katika huu Mkataba sasa sielewi kwanini tena nyinyi waajiriwa hamuutaki Mkataba tunaouandaa sisi Waajiri wenu badala yake mnataka mtuandikie Mkataba nyinyi,Mliona wapi hiyo?
 
Elimu ya ukoo mzima wa Bulembo na miaka yao ndo elimu ya Jaji Waryoba, hivyo ni wakati muafaka Bulembo kumuheshimu Jaji na tume yake.

- Mbona hukutaja elimu ya Mwenyekiti wako wa Chadema, ha! ha! ha!, halafu vipi Elimu ya wabunge wako una uhakika ipo sawa? ha! ha1

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom