Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

- ha! ha! Childish, Nyerere, mara baba yako, what do have anything to do na this mess Warioba has put himself in? Aliombwa kuandika maoni ya katiba mpya kutoka kwa wananchi that is all hakuombwa maoni yake binafsi, ingawa anao uhuru wa kufanya hivyo ila tu akiwa nje ya tume,

- Mkuu sana umelia sana lakini nje ya topic fungua thread inayonihusu na inayomuhusu baba yangu na wako, hapa tunajadili Taifa, kwamba Sheria inasema nini kuhusu maamuzi ya kurekebisha katiba, inasema CCM yenye majority bungeni na ambao ndio watawala, wana haki ya kuamua katiba iweje sio Chadema, CUF, Warioba au wewe na matusi yako haya ya kitoto sana, pole sana sio mimi ni Sheria ya jamhuri!! ha1 ha1 ha!Le Mutuz
Hakuna sheria kama hiyo, William unazidi kujitia matope. Hkuna sheria inayosema hivyo.

Ninakupa mfano wa baba yako kwasababu moja ya madai yako ni CCM kutaka serikali 2.
Ndio maana tunasema ulipaswa umkemee kwanza halafu utufahamishe, ndipo uiseme tume ya Warioba na wananchi kwa ujumla.

Baba yako ndiye mwasisi wa G55 kwa kujificha Nyerere akamwita Mhuni hadharani, laana inayomtafuna hadi leo tena akijua hatakuwa rais na wanawe ndio hawa tunaowasoma.

FYI, JK mwenyekiti wa CCM na Paymaster Nape wamekataa na kukanusha maneno ya Bulembo na kusema hayo si maneno ya chama. Sasa ninyi wavaa kofia mnasema ninii

William huu uzi umesaidia sana wale waliokuwa na shaka juu yako. Sisi tunaokufaham tulipigwa na butwaakwa kusikia ulipewa fomu za ubunge. Kitendo cha kupewa fomu kilitusononesha sana, wewe hufai kupewa fomu yoyote. Unatakiwa ubaki na Jina la Malecela tu.
 
- tunaishi kwa Sheria sio kanuni, Sheria ipo wazi Warioba hana mamalaka ya kuwaamulia wananchi Katiba, ila anayo mamalaka ya kukusanya maoni yao na kuyaandika chini, Warioba hana mamlaka yoyote kikattiba ya kuwaambia eti Viongozi wa Saisa wakae chini kujadili tena Rasimu, Rasimu imeshaenda Bungeni imepitishwa na Wabunge wa Chadema na CCM, sasa inasubiri saini ya Rais iwe Muswaada na kujadiliwa na Wabunge,

- Labda nikukumbushe historia kidogo, kule USA ni Republicans ndio walioamua kupunguza mafao ya Marais wao kwa sababu ya wingi wao bungeni, na ni wao ndio walioamua kupunguza malipo ya welfare ya wananchi wao bila kujali uchache wa Democrats bungeni kwa sababu Sheria inasema ni majority ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria, CCM ndio wenye mamlaka ya mwisho kisheria ya jamhuri kuamua katiba mpya iweje sio Warioba na Chadema.

Le Mutuz

Malecela je unayo nakala ya TOR ya tume hiyo?? CCM hawana mamlaka ya kuandaa katiba ya nchi bali ni wananchi; wanaCCM wataandaa katiba ya CCM inayomvua mtu kofia mbili
 
Back
Top Bottom