mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,152
Huyu kiumbe anaongea nini?- Hayo maneno ya kutishia nyau watuwazima, CCM tumeshaamua tutaisimamia katiba kama Sheria inavyosema, Warioba na Chadema poleni sana, siku zote huwa mko on the wrong side na on the wrong timing, unawezaje kudai katiba mpya na huku unajua huna majority wala hata close to it, soma historia za Dunia za kubadilisha katiba uone kama kuna taifa hata moja Duniani limewahi kubadili katiba huku likiwa na majority kubwa kama CCM, poleni sana huko hamna political startegists wazuri, mnatia ibu sana!1
Le Mutuz
Mungu wangu! Kilichomfanya mwenyekiti wako kuanzisha mchakato wa katiba ni nini hasa? Kumbe kweli maccm yanailaani sana ile siku kikwete aliota swala la latiba mpya.