Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada , alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz
Wajuzi wa mambo naomba tusaidiane, hii Le Mutuz, haijui hata kilichopelekwa bungeni kuwa ni muswada wa sharia ya mabadiliko ya katiba. Sasa kusema hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswada, nafikiri ni kutojitambua kuwa huelewi haya mambo zaidi ya upotoshaji. Kaa kimya siyo lazima uongee kama huna cha kusema.
 
Rasimu imeshakuwa muswaada (muswada)?!!! Kwa hiyo unamaanisha kuwa kwa sasa mabaraza ya katiba yanajadili muswada?
Unaposema tume inatakiwa tu kupokea maoni na sio kufafanua yaliyomo kwenye rasimu, unamaanisha kwamba wajumbe wote wa mabaraza wanaelewa 100% ya yaliyomo humo? Kama ndivyo, sasa kwa nini waulize maswali? Au unataka wakiulizwa maswali wajibu "hata sisi hatujui, tuliandika tu tulichoambiwa na waliotoa maoni"?...

- Wananchi wangekuwa hawajui basi Warioba asingelia wanapokataa maoni yake ua kutaka Serikali tatu kwa nguvu!

Le Mutuz
 
- Mr. Lay man Muswaaada umeshapitishwa na wabunge unasubiri saini ya Rais, maana yake ni kwamba haupo kwenye level ya maoni ya wananchi wala Warioba tena, pole sana nenda usome tena katiba.

Le Mutuz
Pole sana ,kulingana na kilichopo bado KURA ya Maoni ya watanzania lazima ipigwe ili tujue kama asilimia ngapi wanakubaliana na Rasimuhiyo vinginevyo hakutakuwa na katiba mpya.Kwa sasa ni bora tuendelee na katiba ya zamani kuliko hii inayochezeshwa shere na CCM.
 
- Mr. Lay man Muswaaada umeshapitishwa na wabunge unasubiri saini ya Rais, maana yake ni kwamba haupo kwenye level ya maoni ya wananchi wala Warioba tena, pole sana nenda usome tena katiba.

Le Mutuz

Malecela nakushauri utumie muda kidogo kusoma na kufuatilia mambo huko kwenye ziara zenu mnazofanya. Muswada uliopitishwa ni wa sheria itakayoongoza mchakato wa katiba kutokea level ya kura ya maoni, sio rasimu. Muswada huu haujawahi kuwa, haupo wala hautakaa uwe chini ya level ya Warioba. Akina warioba wanadeal na rasimu ya katiba, ambacho ni kitu tofauti kabisa na muswada ule uliopitishwa bungeni...
Unajiaibisha mkuu...
 
Wajuzi wa mambo naomba tusaidiane, hii Le Mutuz, haijui hata kilichopelekwa bungeni kuwa ni muswada wa sharia ya mabadiliko ya katiba. Sasa kusema hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswada, nafikiri ni kutojitambua kuwa huelewi haya mambo zaidi ya upotoshaji. Kaa kimya siyo lazima uongee kama huna cha kusema.

- Level ya kujadili maoni ya wananchi imeshapita ipo kwenye level ya Muswaada Bungeni, Warioba hana mamlaka ya kuamua rais asaini ama asisaini hana hayo mamlaka.

Le Mutuz
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz

Umeonesha unazi zaidi
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz

Wewe na Bulembo ni waganga njaa. Haujisikii vibaya kuongozwa na Bulembo ambaye mara kadhaa kabwagwa chini uchaguzi wa udiwani Kijitonyama; Kiboko yake ni Juma Ulole Ulole, Bulembo ni darasa la VII halafu CCM mnampa madaraka mtu mwenye shule ndogo
 
Malecela nakushauri utumie muda kidogo kusoma na kufuatilia mambo huko kwenye ziara zenu mnazofanya. Muswada uliopitishwa ni wa sheria itakayoongoza mchakato wa katiba kutokea level ya kura ya maoni, sio rasimu. Muswada huu haujawahi kuwa, haupo wala hautakaa uwe chini ya level ya Warioba. Akina warioba wanadeal na rasimu ya katiba, ambacho ni kitu tofauti kabisa na muswada ule uliopitishwa bungeni...
Unajiaibisha mkuu...

- Kazi ya Warioba ilikuwa ni kukusanya maoni tu ya wananchi na kuyaandika chini sio kutuamulia maoni yake, kama kuwa na haya mawazo ni kujiabisha so be it! ha! ha1 ha1

Le Mutuz
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz

hivi we njemba una matatizo gani?mswada wa marekebisho ya katiba na rasimu ya katiba sio kitu kimoja,rasimu ya katiba haiwezi kuwa muswada,muswada unasainiwa na rais au kwa lugha nyingine rais ana nguvu na miswada ya sheria lakini sio sheria mama(katiba).Wananchi ndio wana nguvu juu ya uundwaji wa katiba..dah,eti nawe una cheo ccm!!!!
 
- Wananchi wangekuwa hawajui basi Warioba asingelia wanapokataa maoni yake ua kutaka Serikali tatu kwa nguvu!

Le Mutuz

Warioba hajawahi kulia kutokana na wananchi kutoa maoni fulani. Concern ya Warioba ni nyie wanasiasa kupotosha umma mkiwa nje ya mabaraza...
 
Wewe na Bulembo ni waganga njaa. Haujisikii vibaya kuongozwa na Bulembo ambaye mara kadhaa kabwagwa chini uchaguzi wa udiwani Kijitonyama; Kiboko yake ni Juma Ulole Ulole, Bulembo ni darasa la VII halafu CCM mnampa madaraka mtu mwenye shule ndogo

- Mbona Mwenyekiti wako Chadema ana elimu ndogo sana, toa boriti kwako kwanza mkuu!!, halafu PhD ya Dr. Slaa ni ya wapi eti? ha1 ha! h!

Le Mutuz
 
- ha! ha! ha! CCM tupo wachache kuliko wananchi waliotuchagua na kuwa na wabunge 280, over wenu 46? ha! ha1

Le Mutuz

Wananchi tupo zaidi ya milioni 45 ccm ina wanachama milioni 4 fanya mlinganisho hapo
 
Warioba hajawahi kulia kutokana na wananchi kutoa maoni fulani. Concern ya Warioba ni nyie wanasiasa kupotosha umma mkiwa nje ya mabaraza...

- Warioba analia kwa sababu amejaribu kuwafundisha Serikali tatu wananhci wamekataa kutokana na elimu waliyopewa na CCM chama chao ndio maana Warioba analia machozi, ajiuzulu tu tuendeleee na mchakato wa KAtiba yetu mpya!!

Le Mutuz
 
- Level ya kujadili maoni ya wananchi imeshapita ipo kwenye level ya Muswaada Bungeni, Warioba hana mamlaka ya kuamua rais asaini ama asisaini hana hayo mamlaka.

Le Mutuz

Njaa zako zinakupeleka pabaya, TUMIA Kichwa na kuchimba uwezo wa Bulembo ndipo uamue kuanza kumbebea begi, hana uwezo wa kukuvusha kisiasa, panga mikakati ukachukue MTERA 2015
 
Rasimu imeshakuwa muswaada (muswada)?!!! Kwa hiyo unamaanisha kuwa kwa sasa mabaraza ya katiba yanajadili muswada?
Unaposema tume inatakiwa tu kupokea maoni na sio kufafanua yaliyomo kwenye rasimu, unamaanisha kwamba wajumbe wote wa mabaraza wanaelewa 100% ya yaliyomo humo? Kama ndivyo, sasa kwa nini waulize maswali? Au unataka wakiulizwa maswali wajibu "hata sisi hatujui, tuliandika tu tulichoambiwa na waliotoa maoni"?...

Brother utaumia kichwa na huyu mtu............ni mtupu sana ila ana uwezo wa kudakiwa mawazo na maneno ya wengine na kujifanya ya kwake!~
 
- tunaishi kwa Sheria sio kanuni, Sheria ipo wazi Warioba hana mamalaka ya kuwaamulia wananchi Katiba, ila anayo mamalaka ya kukusanya maoni yao na kuyaandika chini, Warioba hana mamlaka yoyote kikattiba ya kuwaambia eti Viongozi wa Saisa wakae chini kujadili tena Rasimu, Rasimu imeshaenda Bungeni imepitishwa na Wabunge wa Chadema na CCM, sasa inasubiri saini ya Rais iwe Muswaada na kujadiliwa na Wabunge,

- Labda nikukumbushe historia kidogo, kule USA ni Republicans ndio walioamua kupunguza mafao ya Marais wao kwa sababu ya wingi wao bungeni, na ni wao ndio walioamua kupunguza malipo ya welfare ya wananchi wao bila kujali uchache wa Democrats bungeni kwa sababu Sheria inasema ni majority ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria, CCM ndio wenye mamlaka ya mwisho kisheria ya jamhuri kuamua katiba mpya iweje sio Warioba na Chadema.

Le Mutuz
Kweli Taifa limeingiliwa unasemea rasimu ipi iliyopitiwa na bunge?
 
- Mr. Lay man Muswaaada umeshapitishwa na wabunge unasubiri saini ya Rais, maana yake ni kwamba haupo kwenye level ya maoni ya wananchi wala Warioba tena, pole sana nenda usome tena katiba.

Le Mutuz

Sasa hapa sijui unaongelea nini? Mswaada unaosubiri kusainiwa uwe sheria au Rasimu ya katiba, sikumbuki kama rasimu ya Katiba iliisha pelekwa bungeni na kufanya nini! Kuna vitu viwili hapa unachanganya, ila kwa sababu ni tabia yenu kutumia ma------ badala ya kichwa unazidi kukomaa na kitu ambacho unaonyesha wazi hukijui! Mzee Malecela ana bahati mbaya sana kuwa na mtoto wa kiume kama wewe ni bora hata ungezaliwa wa kike tungesema ungeolewa! Kiroho safiiiii

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hivi we njemba una matatizo gani?mswada wa marekebisho ya katiba na rasimu ya katiba sio kitu kimoja,rasimu ya katiba haiwezi kuwa muswada,muswada unasainiwa na rais au kwa lugha nyingine rais ana nguvu na miswada ya sheria lakini sio sheria mama(katiba).Wananchi ndio wana nguvu juu ya uundwaji wa katiba..dah,eti nawe una cheo ccm!!!!

- Sheria inasema CCM ndio yenye uamuzi wa mwisho juu ya marekebisho ya katiba mpya sio Warioba wala Chadema au muungano wa Chadema na Waliberali CUF, ha! ha!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom