kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,151
- 16,140
Leo?
.... watajisahaulisha kuwa huyo licha ya kuwa madarakani enzi hizo ni mwanasheria nguli na mkongwe. Ikijasemwa "anawashwawashwa" watakaosema hivyo ama kujibizana nae watazameni mara mbilimbili.Uraia wake
Kawia ufike. Better late than never. Hamjui hizi semi au ndio kujitoa fahamu tu. Unachotakiwa ni kuiongezea nguvu hii sauti isikike eneo kubwa la nchi hiiAlikuwa wapi muda wote hayo maneno angesema mwez wa tisa
Wazee wanaanza kupata akili baada ya uchaguzi! Kwa nini ha kusema haya kipindi cha uchaguzi?Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu...
Haahaa atatengwa, atapigwa dongo soonDuuh ajui majira na nyakati bila shaka
Huo ndio ukweli tusiangalie matokeo sisi tuendelee kupiga kelele kwani maisha hayajasimamaKawia ufike. Better late than never. Hamjui hizi semi au ndio kujitoa fahamu tu. Unachotakiwa ni kuiongezea nguvu hii sauti isikike eneo kubwa la nchi hii
Shauri yake huyu mzee, bashite hajafanya kazi siku nyingi na anatafuta angle ya kurudia enzi zakeJaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu...
Kweli kabisaAsante mzee Warioba, natamani wazee wenye hekima walisemee taifa.Bado tuna nafasi kurekebisha tulipo jikwaa.
Na yule pimbi asingepewa kile kibiongo sijui angekuwaje,vile alivyo tu lakini mkaksi kinoma.Naona magoti kasogezewa kazi.
Hana lolote yalipokuwa yanatendeka sialikuwepo? kwanini hakusema ili kuzuia anasema Leo ikiwa athari zimekuwa kubwa.Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu...