Carlos Valderrama
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 664
- 240
Umuelewi kivipi wakati Warioba ni kada wa CCM muda mrefu wewe ulidhani yupo Ukawa?Nashindwa kumuelewa jaji Warioba kuhusu katiba yeye kasimamia wapi maana anaowanadi sasa hivi walimtukana mpaka kumpiga kisa alikuwa na msimamo juu ya katiba ya wananchi.
Ebu tujadili; je, na yeye kakubali katiba pendekezwa?