Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Wamesaliti kazi yao iliyo bora,Wamewasaliti wananchi Maskini NA sasa hawazungumzii tena katiba mpya zaidi ya kupambana NA LOWASSA. Magufuli akishinda Urais hawezi kubadilisha msimamo WA bunge maalum LA katiba lililo pitisha katiba pendekezi zaid ya kufanya referendum.WARIOBA NA POLEPOLE wametuacha kwenye mataa sisi wakulima maskini.hawatakua NA jipya kwa wananchi tena zaidi ya sisi kuwaona wasaliti.

Wasalaam
Abel sere from Moshi

Waliotusaliti ni Ukawa maana hao ndo wamebeba maana nzima ya katiba mpya
 
CCM ishinde nini mkuu? hivi kama kuona huoni, kusoma hujui BASI HATA KUNUSA HUNUSI?
VIVA UKAWA
 
Hawa ni wasaliti wa Tanzania tuitakayo, tusiwaamini tena wa Tz
 
Wamesaliti kazi yao iliyo bora,Wamewasaliti wananchi Maskini NA sasa hawazungumzii tena katiba mpya zaidi ya kupambana NA LOWASSA. Magufuli akishinda Urais hawezi kubadilisha msimamo WA bunge maalum LA katiba lililo pitisha katiba pendekezi zaid ya kufanya referendum.WARIOBA NA POLEPOLE wametuacha kwenye mataa sisi wakulima maskini.hawatakua NA jipya kwa wananchi tena zaidi ya sisi kuwaona wasaliti.

Wasalaam
Abel sere from Moshi

warioba ni jaji ambaye hajawahi kuamua kesi yoyote! ni sawa NA wakerewe NA wajita wanavyojiita yego jaji
 
CCM ishinde nini mkuu? hivi kama kuona huoni, kusoma hujui BASI HATA KUNUSA HUNUSI?
VIVA UKAWA

Umenusa ...
Hujalinusa bao la mkono?
Hujaona hakuna kamanda anayeambatana na Lowassa?
Hujajua kitu gani kimepunguza nguvu kubwa ya wapinzani chini ya ukawa?, manake wangeungana thabiti ccm wasingekuwa hata wanaubavu wa kupiga kampeni...yaani jukwaa lina lema, msigwa na lissu na mgombea urais.
Sasa hivi dah.
Hujajua kuna Almasi na Chupa na vyote vinafanana sana?
Almasi hainuswi.
We endelea kunusa tu..na ikulu utainusa tu.
 
Wamesaliti kazi yao iliyo bora,Wamewasaliti wananchi Maskini NA sasa hawazungumzii tena katiba mpya zaidi ya kupambana NA LOWASSA. Magufuli akishinda Urais hawezi kubadilisha msimamo WA bunge maalum LA katiba lililo pitisha katiba pendekezi zaid ya kufanya referendum.WARIOBA NA POLEPOLE wametuacha kwenye mataa sisi wakulima maskini.hawatakua NA jipya kwa wananchi tena zaidi ya sisi kuwaona wasaliti.

Wasalaam
Abel sere from Moshi


Wasaliti ni UKAWA; agenda ya katiba ya wananchi ni kubwa kuliko agenda ya ufisadi na ingewaingiza ikulu bila jasho lakini wameshindwa kuibeba na kuianisha na ilani yao wakaeleweka. Katiba ya wananchi ina maadili ya kumaliza ufisadi, ina kibano kinacholinda rasilimali mapesa yapatikane watu wasome bure na umasikini uondoke lakini hawalioni hilo wanaorodhesha ahadi kama wenzao wasio na agenda kwa kuikataa katiba ya wananchi. Wameisaliti lakini zaidi wamejisaliti wenyewe kwa kuwa hawataingia ikulu kwa maonyesho wanayofanya; au Lowassa anawazuga kwa manufaa ya sisiem? kwanini agenda hii inayoleta ushindina kuondoa uchafu wote wanaopakaziwa hawakomai nayo? mbona jana kwenye mahojiano Mnyika alipokomaa na agenda hii vyama vingine vilichanganyikiwa hadi kutaka kupigana? kwanini hili hawalioni? huyo wa kuondoa mafisadi na majizi huku anakataa katiba ya wananchi atatumia muujiza gani? ilani ya chama inampa mgombea nguvu ya kufunga watu au ni sheria za nchi? na sheria za nchi zinatoka wapi kama sio kwenye katiba?
 
Nashindwa kumuelewa jaji Warioba kuhusu katiba yeye kasimamia wapi maana anaowanadi sasa hivi walimtukana mpaka kumpiga kisa alikuwa na msimamo juu ya katiba ya wananchi.

Ebu tujadili; je, na yeye kakubali katiba pendekezwa?
 
Mkuu huu ni mwaka wa mavuno na hata wenye akili mwaka huu wameshikiwa akili zao ziko likizo.
 
Warioba na team Magufuli wanaamii Kikwete ndo tatizo
sasa ili mradi Kikwete anaondoka wao wanaamini kila kitu kitawezekana...

Tusubiri tuone.....ni vingapi wataweza
je Magufuli atakubali madaraka ya Rais yapunguzwe?
 
Hata Saed kubenea, waliomwagia tindikali ndio hao sasa anawaandika vizuri, kwahiyo ushishangae ya Warioba anza kwanza na ya kubenea. hii ndio tz kama huijui
 
Warioba endelea kutuelimisha watanzania tuondokane na ujinga wa kutaka kumpa fisadi nchi.
 
Nashindwa kumuelewa jaji warioba kuhusu katiba yy kasimamia wapi maana anaowanadi saiv walimtukana mpaka kumpiga kisa alikua na msimamo juu ya katiba ya wananchi.
Ebu tujadili je nayy kakubali katiba pendekezwa?

Unachoshindwa kumuelewa ni kipi hasa?

Msimamo wake kuhusu katiba kabadilisha?

Hawezi kukiunga mkono chama chake katika kampeni za urais kama anatofautiana nacho kuhusu katiba?
 
Nyie muliokapinga mafisadi mbona leo mumewakumbatia mpaka list of shame munmeitoa kwenye website yenu…!!!
 
Nashindwa kumuelewa jaji warioba kuhusu katiba yy kasimamia wapi maana anaowanadi saiv walimtukana mpaka kumpiga kisa alikua na msimamo juu ya katiba ya wananchi.
Ebu tujadili je nayy kakubali katiba pendekezwa?
Sasa we kwaakili yako ulitegemea angemnadi fisadi?
 
Warioba na team Magufuli wanaamii Kikwete ndo tatizo
sasa ili mradi Kikwete anaondoka wao wanaamini kila kitu kitawezekana...

Tusubiri tuone.....ni vingapi wataweza
je Magufuli atakubali madaraka ya Rais yapunguzwe?

Kippi Warioba anagombea ubunge kupitia CCM. Mshua kaamua kuweka maslahi ya familia mbele na kuikana Katiba ya Wananchi. Ni gamba tu na yy.
 
Kama umeweza kuielewa chadema kumnadi Lowasa basi sasa unaigiza kwa makusudi kutomuelewa Warioba. Bora kuacha katiba kwa sasa kuliko fisadi kuingia ikulu.
 
Back
Top Bottom