palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,462
Aje jaji mwenyewe akanushe hii taarifa
Wana jamvi salaamu. Kna jammaa mmoja aliniambia kuwa yule Judge aliye mvua Lema Ubunge ameparalyze.
Naombeni kama kuna mweny taarifa zaidi atujuze
Itakuwa ni CDM imemshughulikia.
Hapa nachelea kukuita gt.
Great thinker ni yule mwenye mtazamo kama wako?
Itakuwa ni CDM imemshughulikia.
Itakuwa ni CDM imemshughulikia.
Cdm wanaingizwa vipi na maradhi ya mtu?
Mbona taarifa za afya za hakimu aliyempatia ushindi Mnyika au yule aliyetupilia mbali kesi ya Lissu hatupewi? Fungua akili zako.
Hii habari ni kweli na niliiweka jana lakini kwa msshangao mkubwa baada ya kufika pege ya pili ilifungiwa sijui kwasababu gani niliwauliza mods lakini mpaka sasa sijajibiwa...Taarifa kutoka kwa mpambanaji amenivutia simu muda si mrefu na kunipasha habari kuwa,yule Mtanzania mwenzetu aliyetoa hukumu ya kutengua ubunge wa Mbunge wa Arusha mjini amepooza mguu.
Sitaki kusema ni laana za wana Arusha,bali ni hali ya kawaida kwa wanadamu maana tumeumbiwa na maradhi pia.
Nawasilisha.
Mbona taarifa za afya za hakimu aliyempatia ushindi Mnyika au yule aliyetupilia mbali kesi ya Lissu hatupewi? Fungua akili zako.