Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,645
mkono uliotumika kumzodoa zitto ulikatwa..
...na ubunge akakosa,sshz anatia huruma,kwishney!
mkono uliotumika kumzodoa zitto ulikatwa..
Mkuu, bado si lazima kupooza kwa jaji kuhusisjwe na hukumu aliyotoa dhidi ya lema. Think again! Nafikiri tumwombee apone kabisa na kisha aone kamanda anavyorudi mjengoni kwa kishindo!kama ulikuwepo siku ya kutoa tamko rasmi la chama juu ya kuvulia ubunge lema utakuwa una jibu sahihi, na kama umefatilia kilicho wapata wale wagawa sanda kule Lindi utakuwa na jibu...
sisi tuna Mungu, wao wana pesa.
Kwa hiyo mnamaanisha nini, inaweza kutokea na isihusiane na kesi ya Lema!
Na kilema cha Slaa ni laana ya nani? Ni ya alie ibiwa mke?hizo ni laana, bado hiyo laana itafika hadi wanachokiita "kurugenzi ya ikulu kwa baba ridhi........."
Kwa hiyo mnamaanisha nini, inaweza kutokea na isihusiane na kesi ya Lema!
Jaji gabriel rwakabarila huyu huyu nliekutana nae jana akiwa kwenye kutekeleza majukumu yake ya kikazi au kuna mwingne?acheni uzushi