MD25
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 3,074
- 1,018
Malipo ni hapa hapa duniani. Mungu amejibu sala/maombi ya wana-Arusha pamoja na mjungo wa mbunge wetu Lema. Hata JK nchi inamshinda kutokana na manung'uniko na simanzi iliyopo moyoni mwa wananchi, kwa hiyo nae Mungu anamuadhibu kiaina... Huyo Jaji naomba pia, mikono na mdomo upooze pia...