Hapa ndio mungu anapoonekana, kama yuda eskarioti alivyoshindwa pa kuvipeleka vipande vile vya pesa, na huyu jaji asubiri kunyea debe, amewapoka maelfu ya watanzania, watoto na wajukuu wao maisha yao kwa ujaji wa kikwete ambao judiciary system inaongelea wazi kuwa ni wimbi la majaji waliogubikwa na tamaa ya fedha na ni hatari kubwa sana kwa taifa letu, bado na kikwete nae siku zake sijui kwa nini zinachelewa, tupige magoti na kumlilia mungu huyu bwana miaka miwili baada ya ikulu atakua barabarani akipitisha kopo sasa la kujiombea yeye na rizwani, angalie mubaraka yuko wapi? familia ya gadafi je? sembuse yeye? mungu nisamehe lakini huyu jaji tuendelee kupewa taarifa zake za kukosa huduma za bure za serikali, maana hiyo huduma ni kodi yetu na mioyo yetu imekataa kwa hiyo hataonja lulu ya jasho letu. bwana ametoa na bwana ametwaa