Taarifa kutoka kwa mpambanaji amenivutia simu muda si mrefu na kunipasha habari kuwa,yule Mtanzania mwenzetu aliyetoa hukumu ya kutengua ubunge wa Mbunge wa Arusha mjini amepooza mguu.
Sitaki kusema ni laana za wana Arusha,bali ni hali ya kawaida kwa wanadamu maana tumeumbiwa na maradhi pia.
Nawasilisha.
Taarifa kutoka kwa mpambanaji amenivutia simu muda si mrefu na kunipasha habari kuwa,yule Mtanzania mwenzetu aliyetoa hukumu ya kutengua ubunge wa Mbunge wa Arusha mjini amepooza mguu.
Sitaki kusema ni laana za wana Arusha,bali ni hali ya kawaida kwa wanadamu maana tumeumbiwa na maradhi pia.
Nawasilisha.
Mh!!!!!!
Isije kuwa ni kazi ya wana sayansi ya kujitegemea kutoka Rukwa!!!!!!
Hii habari ni kweli na niliiweka jana lakini kwa msshangao mkubwa baada ya kufika pege ya pili ilifungiwa sijui kwasababu gani niliwauliza mods lakini mpaka sasa sijajibiwa...
Nimtazamo wako ila kumbuka MUNGU siyo mwanadamu aseme uhongo nakumbuka wana wa Arusha walifunga na kusali kwa asiku 7 kufunga ni kujitolea dhabihu kama wewe ni mkristo unajua kila kitu kuhusu kunga na kusali kama ukumu ile ilikuwa ni ya haki sawa ila ugonjwa ni sehemu ya mwanadamu kwa hiyo basi msijiulize maswali mengi mkachoka bure hakimu wa Mnyika alitenda haki na Lissu pia alitenda haki
Naamini hao waliofunga ndio wale wale waliofunga pindi kamanda Chacha Wangwe alipotaka kuvuruga chama kwa kuhoji matumizi ya fedha za chama.