Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,933
- 4,704
;Hapana shaka lolote juu ya kuhusika kwa waziri na naibu wake ila kasoro ya Katibu ni kwamba yeye ndie kakutwa na ngozi. Falsafa ya ccm ni iba, chunga, KUKAMATWA. Jinai hapo ni kukamatwa na wala sio kuiba..Huu niuonezi wa wazi! Sikubaliani kabisa na uamuzi wa serikali....hivi Jairo alichokuwa anafanya sikilikuwa na baraka za waziri na naibu waziri wake? Iweje rungu limwangukie yeye? I hate Tanzania.