Jairo asimamishwa kazi

Jairo asimamishwa kazi

Status
Not open for further replies.
Ni kweli, wabunge wa CCM hawana tofauti na Ze Comedy, hivi hyo 1BN ambayo Jairo aliiomba kwa ajili ya kuhonga, thamani yake inafanana au kuzidi msamaha wa kodi ya miaka 10 kwa wawekezaji? Hoja ambayo pamoja na kupewa effects zake kwa uchungu sana na Mh Mnyika na Mh Lissu walidharau na kupitisha kwa NDIYOOOO kubwa kifungu hicho cha Finance Act ya 2011/2012?
 
Nawaza mno ndugu zangu ! Wabunge na umakini wao kwa nini mtu awafikirie kuwahonga? Je si kwamba ana uhakika kuwa huwa wanachukua ndio maana aliwaandalia? Je twakumbuka mfalme aliyemkataa mkewe kwa kigezo tu kuwa mkewe hapaswi hata kusingiziwa? Walioandaliwa na kuandaliwa hilo donge si ndio hawa viongozi wetu, tuwachekee?
 
Hapa ndipo napomuona JAIRO NI INNNOCENTmaana huo ni mchezo mchafu wa muda mrefu na inaonesha mawazir wanajua hata CAG atakuwa anajua hilo,,,,maana wakat wa ukaguz wa mahesabu anaambiwaje????billion moja si pesa ndogo kwakweli.........
Wachunguze 'upitishaji' wa budget kwa wizara zote sio hii ya Nishati na Jairo peke yake. Barua yake Jairo ya mchango imetumia maneno "kama ilivyo kawaida" what kawaida?
 
Kwa hiyo hasira zote za wabunge lilikua si kutokana na bajeti mbovu wala kukosekana kwa umeme bali zilikua hasira za kutukanwa??? Asinge watukana je ndiyo wasinge mchukulia hatua???

Kuna uwezekano hawa wabunge walilamba huo mshiko uliochangwa sasa Jairo akawa anashangaa mbona jamaa kama hawaungi hoja? Ndo akaona sasa inakua kama comedy ... hata hawa wabunge wa magamba walivyo chachamaa nilihisi kuna kitu nje ya hiyo bajeti.
 
Yatasemwa meeeeengi katika hili, ukweli utabaki pale pale kwamba Jairo ni "bangusilo".
 
Yatasemwa meeeeengi katika hili, ukweli utabaki pale pale kwamba Jairo ni "bangusilo".

Ukisikia tamaa ya madaraka ndo hiyo ... kwa nini mtu ukubali kutumika kama bangusilo? Mwache aipate freshi na ma-bangusilo wengine watie akili.
 
Jairo usikubali janja ya ngeleja..kama kusimamishwa msimamishwe wote maana vikao si mlifanya wote sasa iweje wewe usimamishwe peke yako?
 
Ukisikia tamaa ya madaraka ndo hiyo ... kwa nini mtu ukubali kutumika kama bangusilo? Mwache aipate freshi na ma-bangusilo wengine watie akili.
Hakika! Tutakapokataa kuwa "bangusilo" Nchi hii itapiga hatua katika kutatua kero mbalimbali zinazotukabili. Pamoja Mkuu.
 
Ameonewa tu kwa vile barua yake ilionekana hadharani na hivyo kuiabisha serikali; hilo ni jambo linalohusu wizara nzima na serikali yote. Wote wanafanya hivyo, iweje yeye tu ndiye aachiswhe kazi? Jambo hilo halikuanza jana wala leo, ni la siku nyingi sana. Zile bahasha za kaki zinazogawiwa wabunge wakati wa bajeti huwa zinatokana na utaratibu huo huo.
 
Hivi ina maana Waziri mkuu hana mamlaka ya kumsimisha a civil servant' kama katibu mkuu hata kwa muda kupitisha uchunguzi mpaka Rais afanye hivyo mwenyewe? Na kwa issue hii ambayo Rais alikuwa nje ya nchi, kiongozi anayekaimu ni ceremenial au? Kwa nini Rais baada ya kupigiwa simu asiseme yafinyike yaliyofanyika leo? strange!
Waziri Mkuu hana uwezo huo na kitu cha kushangaza zaidi hakujua mipaka yake. Hilo jambo liko chini ya Mkuu wa Utumishi wa Umma (Katibu Mkuu Kiongozi) ambaye atatoa mapendekezo kwa Rais kuhusu namna ya Kushughulikia jambo hilo kuanzia Uchunguzi hadi utoaji adhabu.
 
Ni kweli wabunge ni KAMA ZE KOMEDI namuunga mkono huyo,tena hao wa ccm ndio kama ile komedi ya eatv,maana hawana jipya,kwa sababu JAIRO hawez lipa mipesa yooote bila ya mawazir wake KUJUA,,,,,,,,,,SO WANAROPOKAROPOKA TUUUUUU,WAPINZANI SI WALISHASEMA KUHUSU BAJETI?????
 
Huyu Jairo atakwenda na wengi; kwanza waziri wake na Naibu kwa sasa wamekalia kuti kavu, pili wale wabunge waliopewa huo mkwanja, kama kuna wapiganaji wanaowasumbua 'magamba' mjengoni na ikatokea walipokea hizo posho usishangae vumbi likitulia baadhi yao watakuwa chali!
Mnakumbuka 'kashfa' ya posho mbili mbili katika bunge liliopita? tena ndio ilinyamazisha mjadala wa Richmond ukaisha kimyakimya.
 
Kwa kauli kama hizi za dharau, ndo maana kuna Mtanzania na Mtanzania wa KAWAIDA. hawa wenzetu ni wa Tanzania
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom