Triple DDD
Senior Member
- Jan 19, 2011
- 151
- 16
kazi ipo hii ndio tanzania.
....................Huu ndio uhhalisi wa hili jambo Mkuu. Baada ya muda kupita na watz tumeshasahau litaibuliwa jambo la kuzugia ili tupay attension then matokeo ya uchunguzi yatakua hapakupatikana ushahidi wa kutosha. Then DJ atatuwakilisha watz kwenye nchi nyingine kama nyie mmemchoka hapa Bongo!Usijali mkuu ni uchunguzi tu....tuhuma zitakujaonekana si za kweli...mbona unasahau haraka hivyo hii ni TZ
No Rev siyo genius wa kuweza kutoa baraka.Kilikuwa na baraka za Rev Fr Masanilo
Breaking news,hivi punde Katibu wa wizara ya nishati na madini Bwana,David Jairo amesimamishwa kazi,taarifa hiyo imetolewa na katibu mkuu kiongozi philemon Luhanjo ,amesimamishwa ili kupisha uchunguzi wa tuhuma anazokabiriwa nazo.source ITV breaking news.
Ni Serikali ya mataahira tu ndio inaweza kufanya uamuzi wa kipumbavu kama huu. Huyu inabidi kufukuzwa kazi haraka sana na pia kupandishwa kizimbani kwa kutumia pesa za walipa kodi ili kutoa rushwa kwa Wabunge kuhakikisha bajeti ya Nishati inapitishwa.
Bangusilo.Huu niuonezi wa wazi! Sikubaliani kabisa na uamuzi wa serikali....hivi Jairo alichokuwa anafanya sikilikuwa na baraka za waziri na naibu waziri wake? Iweje rungu limwangukie yeye? I hate Tanzania.
Relax mama utaumwa bureSame old shyt kwa hizo chunguzi!..chunguzi ngapi zimefanyika hamna lolote!!Nchi hii basi tu ila tupo tupo na hii serikali ya ajabu!!
inavyoonekana ata ****** akiludi hawez kumfanya chochote huyu ngeleja, dawa yao ni mass-action kama jilani zetu... Mpaka tuingie mtaani ndo watajua tumewachokasasa Luhanjo na Ngeleja wapi na wapi? Huelewi tu kuwa Ngeleja sio saizi ya Luhanjo wala Pinda wala Ustaadh Bilal? Msubirini Mkwer.e arudi tu
Hapo hata mimi sijaelewa,wanasema mara kasimamishwa mara likizo!duh nyekundu ni nyekundu tu huwezi kuiita kijani.Nimeongea na mtu akiwa Dodomana ku-comfirm juu ya Bwana Jairo kusimamishwa kazi.Lakini taarifa ni-conflicting kwani wakati wengine wakisema amesimamishwa ili kupisha uchunguzi utakafanyika ndani ya siku kumi baadhi wanasema amepewa likizo yenye malipo akisubiri uchunguzi
Hapo tumeimbishwa chorus na JK & MKP Jazz.Maana mwanzoni tukaambiwa ningekuwa nina mamlaka naye ningeishachukua maamuzi; mara nimepewa maagizo mapya; mara sijui kama kajiuzulu, na sasa ...
View attachment 34200
Hivi ni uchunguzi gani au ni ushahidi gani unaotakiwa kufanyika na huku ushahidi ulishatolewa pale bungeni na muheshimiwa Shelukindo?
bilioni moja ni cost ya mafuta IPTL kwa nusu cikuOk, then what? Kwanini asisimamishwe kazi pamoja na kushitakiwa kwa kitendo cha kutumia mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kuhongea? Hivi hiyo bilioni moja ingefanya mangapi ya kusaidia kuokoa tatizo la mgao wa umeme? Tunataka Jairo ashitakiwe na akiwa mahakamani atutajie wabunge waliochukua huo mlungula ili waturudishie tufanyie mambo mengine ya maendeleo kwa taifa.
Wachunguze 'upitishaji' wa budget kwa wizara zote sio hii ya Nishati na Jairo peke yake.
Barua yake Jairo ya mchango imetumia maneno "kama ilivyo kawaida" what kawaida?
Source please!
Ni usanii mtupu ndugu yangu unaofanywa na hii Serikali iliyojaa Mataahira katika kulinda maslahi yao binafsi badala ya Watanzania ambao tumewapa dhamana kubwa ya kutuongoza. Kila siku iendayo kwa Mungu madudu na uozo kibao!!!! 🙁 🙁 🙁