Ana Gundu huyu kila mwanaume anayekuwa nae lazima ayumbe kiuchumi.Mkongo wameachana kakomba hadi Capet alizokuwa amemuhongaNdiosi CCM ndio kunamfaa!
View attachment 370081
Ana Gundu huyu kila mwanaume anayekuwa nae lazima ayumbe kiuchumi.Mkongo wameachana kakomba hadi Capet alizokuwa amemuhongaNdiosi CCM ndio kunamfaa!
View attachment 370081
Hahaha maana sikuona mtu kauliza chanzo kama khabari nyingine shukran kunifahamishaChanzo ni gazeti la Mwananchi
Mkuu hili ndiyo lile tetemeko au tusubiri lingine?Hahahaha Lowasa atazimia kabisa....
Hata wa kiume nao makahaba tu...hawajitambuiWasanii wengi wa kike bongo wanasukumwa na nguvu ya ukahaba
Tena la msingi ni lile la kuona ya kwamba wale watu ambao katika uchaguzi mkuu wa 2015 tuliwaita makamanda na walikuwa tegemeo kubwa la kuiangusha ccm.Kwa maoni yangu kisiasa na hasa tunapoelekea 2020 naona swali lako halina tija kwa vyama vya upinzani. Halisaidii upinzani kujitathmini na kujiwekea mikakati mipya ili 2020 iwe na mafanikio zaidi. Afterall, mtu kuondoka chama ni haki yake ya kidemokrasia.
Lamsingi ni kuwa more objective na kujiuliza maswali magumu ya kwanini watu au mtu anaondoka kwenye chama...demotivation ni nini?? etc etc




Msindai kitambi chote kimekwisha akaona bora arudi ccm tu:-? :-?
Karejea msindai jamaa katulia,
Huyu ni msanii mwenye mapenzi mkubwa na dogoz pia na wa jinsia yake mwenyewe!Jacklyn Wolper ni nani huyu na huwa anashughulika na nini? Msaada wana jamvi