Jack anamiliki appartment makongo juu. Kuna mtu namjua anaishi kwenye hizo nyumba za jack. Nahisi alijengewa ki siri siri. Maana mpaka leo kodi anapokea jack
Kwani mjane si mke aliyefiwa na mumewe au kuna tafsiri nyingine? na huyo jakline si kafiwa na mumewe au walikua hawajafunga ndoa?Haki IPI?unaijua haki wewe?
Anapoteza muda tu hana haki yyt ya Mali alizozikuta!
Mjane mjane ,mjane awe klyn? Wajane unawajua wewe?
Sheria inasemaje kwasababu k lyne malizile alizikuta
Hayo magumashi yatamtokea puani au linalomgonga sikuhizi ni lofa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo hakutaka.... Kwanini hakutaka mimi na wewe hatujui. Ila naamini kabisa kuna vipo alivyopewa ambavyo havihusu hii familia nyingine.
Kama unawajua jinsi ya kutuma request waombe pls Mkuu tujue mbivu na mbichiKenge hasikii hadi atokwe damu. FBI au SCOTLAND YARD wakisema wachunguze mzee Mengi alikufaje tutajua mengi
Scotlandyard waliwaomba TP walichunguze saga la Lissu kushambuliwa kwa risasi ndani ya siku chache waharifu watawaweka hadharani TP walikataaKama unawajua jinsi ya kutuma request waombe pls Mkuu tujue mbivu na mbichi
It is for sure alimuua Yule Mzee kwa Kua alikua ana will fake akajua ameshatoka kimaisha
Scotlandyard waliwaomba TP walichunguze saga la Lissu kushambuliwa kwa risasi ndani ya siku chache waharifu watawaweka hadharani TP walikataa
AseeAnagongwa na mzungu kokomzungu katulia anaishi nyumbani kwa Mzee Mengi Kinondoni, analalia kitanda cha Marehemu
WachaaKapewa Magari yooote ya marehemu , nyumba kapewa na vitu walivyochuma na Marehemu sana sana nguo na pochi za LV
Watoto wakecwanasomeshwa International School of Tanganyika IPP wanalipa anataka nini tena
Child support anapewa kila mwezi na IPP , holiday package twice a year analipiwa kila kitu
Wakikua mali zao watazikuta, company mzee ameziacha na madeni ya kufa mtu yamesababishwa na yeye Kyln
Una ushahid gan mimi? Miaka yote hiyo asimuuoeKama unawajua jinsi ya kutuma request waombe pls Mkuu tujue mbivu na mbichi
It is for sure alimuua Yule Mzee kwa Kua alikua ana will fake akajua ameshatoka kimaisha
yaaan kituko ndo shida yakuto kujipanga na kitegemea via vya uzazi kama viambatanisho kwenye mipango binafsi yamaaendeleoAnagongwa na mzungu kokomzungu katulia anaishi nyumbani kwa Mzee Mengi Kinondoni, analalia kitanda cha Marehemu
Una ushahid gan mimi? Miaka yote hiyo asimuuoe
Ni Kampuni zipi hizo mzee mengi aliziacha na madeni ya kufa mtu Mimi.Kapewa Magari yooote ya marehemu , nyumba kapewa na vitu walivyochuma na Marehemu sana sana nguo na pochi za LV
Watoto wakecwanasomeshwa International School of Tanganyika IPP wanalipa anataka nini tena
Child support anapewa kila mwezi na IPP , holiday package twice a year analipiwa kila kitu
Wakikua mali zao watazikuta, company mzee ameziacha na madeni ya kufa mtu yamesababishwa na yeye Kyln
Hiv ni kwel alikua halipi mishahara?Unataka kumlipia,?anza na mishahara kwenye Media
Acha kukutea ujinga ndugu yangukwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!
hiyo sio haki, maana wosia aliutoa marehemu na yeye alikuwa anajua fika kwa nini aliamua kufanya hivyo, kwa sababu tayari walishapata share yao.
Mahakama lazima iangalie huyu mjane anavyo nyanyasika kisa eti hakuchuma mali na marehemu.
kila siku tunalalamika kuwa wajane wanyanyaswa na ndugu wa marehemu, sasa hebu tazameni Jackline Mengi anavyo taabishwa na kuyumbishwa.
huu ni unyanyasaji
Mahakama imtendee Haki huyu mjane.
Akikomaa na hizo Mali zisizo muhusuKama unawajua jinsi ya kutuma request waombe pls Mkuu tujue mbivu na mbichi
It is for sure alimuua Yule Mzee kwa Kua alikua ana will fake akajua ameshatoka kimaisha