cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 84,988
- 136,476
nlikumic sana dea,Tripu hii atakutana na hiroshima
nlikumic sana dea,Tripu hii atakutana na hiroshima
Kumekuchaaaaaa
Naona pesa za evening tea zimeisha,tunazimiss vacations za ma majuu,shopping matata
Sasa hatosheki na malipo ya hiyo appartment? LolJack anamiliki appartment makongo juu. Kuna mtu namjua anaishi kwenye hizo nyumba za jack. Nahisi alijengewa ki siri siri. Maana mpaka leo kodi anapokea jack
Sasa hatosheki na malipo ya hiyo appartment? Lol
We demu ulienda wapi ama umeshazalishwa? Maana huwa tunapotea kwa mambo maalumunlikumic sana dea,
umejuaje sasa? Nina twins now, nshakua single mommah dea,We demu ulienda wapi ama umeshazalishwa? Maana huwa tunapotea kwa mambo maalumu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Jomone sasa si aridhike na hilo khaaaah.Ni ghorofa kazaa. Kuna appartments zaidi ya 20. Na kodi sio ndogo kabisa..
msimbe tena? Mbina mapema sana. Hongera for the twinsumejuaje sasa? Nina twins now, nshakua single mommah dea,
Tanteeeeh dea, bahat mbaya tyuuh hata sikutegemea km itakua iv, sina namna, namshukuru JAH kwa kunipa zawadi ya twins.msimbe tena? Mbina mapema sana. Hongera for the twins
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ha ha ha nimechekaaa.a kama vile hakijatokea kitu vile. Hongera kwa ujasiri dia. Mungu ni mwema. My biggest wish to u is to live a happy.life to the fullest with ur angels. Ndo faraja yako dia.Tanteeeeh dea, bahat mbaya tyuuh hata sikutegemea km itakua iv, sina namna, namshukuru JAH kwa kunipa zawadi ya twins.
Another singo maza in townumejuaje sasa? Nina twins now, nshakua single mommah dea,
Kesi inaendeleaje
Ameeeeen dea.Ha ha ha nimechekaaa.a kama vile hakijatokea kitu vile. Hongera kwa ujasiri dia. Mungu ni mwema. My biggest wish to u is to live a happy.life to the fullest with ur angels. Ndo faraja yako dia.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yes wala sio dhambi.Another singo maza in town
Hajawataka kumsikiliza mjane wa taifa?Alipigwa chini mchana kweupe
Heeh, that soon? Yaan mapema hivi? Sijaweza fatilia aisee. Haya mambo yanatupa awareness maana kuna kesho laweza wakumba wanetuAlipigwa chini mchana kweupe
Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana