J.K ameridhia CHADEMA Kuchukua nchi kabla ya 2015 kwa udhaifu huu...

Kwa udhaifu huu wa J.k ni dhahiri kuwa CHADEMA imeshaikamata dola kabla ya 2015. Ni dhahiri na mwenye tafakuri hana haja ya kuuliza zaidi kwani waswahili husema mwenye macho haambiwi Tazama. Sina haja ya kurejea matukio mengi yaliyopita ila mambo tunayo ya sadiki hivi sasa yanaonyesha kuwa CHADEMA ndiyo inayo ongoza nchi. Ikumbukwe CC Ya CHADEMA ilipo tangaza kufanya maandamano nchi nzima mapema 2010 baada ya uchaguzi mkuu kushinikiza uandikwaji wa Katiba mpya ndipo J.K akaridhia na kutangaza kuanza mchakato wa katiba mpya. Hata hivyo baada ya mswada wa mabadiliko ya katiba kupitishwa na wabunge wa CCM Nakusainiwa na J.K licha ya mapungufu yaliyofanya CDM Kususia na hatimaye kutangaza kuwa CHADEMA watazunguka nchi nzima ndipo J.K Aliridhia mswada urejee tena Bungeni kwa mara ya kwanza. Hivijuzi baada ya CHADEMA kutangaza kuitisha kamati kuu ya dharura kutoa tamko kali kuhusu ufisadi ulioelezwa na CAG J.K Amekuwa mwoga na kuitisha Cc ya Chama Chake ijumaa kabla ya CC ya CHADEMA Jumamosi tar 28/04/2012 kwakuogopa kimbunga kinachokuja amekubali kusuka baraza la mawaziri.Hongera sana CHADEMA kwa kuuonyesha Uma wawa Tz kuwa sera na hoja zenu zinatekelezeka. Zungukeni sasa vijijini kuweka matawi kwani mnakubalika. Na mshauri J.K asilisuke baraza la mawaziri bali alinyoe kabisa ili nywele ziote upya

Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa. Umepoteza rasilimali muda, pesa, na umetumia nguvu nyingi sana. Na mwisho ww ni mgeni JF, TUNAOMBA UJITOE SIO SEHEMU YAKO WAHI FACE BOOK FASTA
 
Nadhani mpaka nuda wake uishe ataweka historia duniani ya Rais aliye vunja baraza la mawaziri maranyingi ndani ya miaka 10
Kwani riport ngapi za kitaalamu zimeandikwa na hakufuata? na hili la kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ndo imewavuruga kabisa na wala si za ripoti za kitaalamu. Huyo CAG kila mwaka anawapelekea riport na wala hawachukui hatua zozote? Ripoti ziko nyingi za kitaalamu na wala hazifuati ila hii ya sasa kwa vile wapinzani wamelivzalia njuga hana jinsi. Wewe ni mnafiki tu na unamaana ni wale wanaojikomba ili wapate vyeo. Hongereni CDM kwa kazi nzuri mnayofanya mpaka hawa jamaa wa CCM wanachanganyikiwa sasa. Cha kushangaza utaona kaingiza tena vilaza kama kawaida yake. Miaka yote yeye kazi yake ni kuunda baraza tu, makatibu wa wizara ni walewale unategemea patakuwa na mabadiliko gani hapo?
 
Mkuu jaribu kuweka paragraphs habari yako isomeke vizuri.

Msamehe bure mkuu ritz jamaa mgeni jamvini si umeona hata alicho andika kinaonyesha si mweledi wa mambo humu jamvini, amevamia jukwaa si lake
 
Out Of Point. Nadhan ni vyema tuijadili hoja. Ila sishangai coz wanaoenda kinyume na mada wanadhihirisha kukosa fikra za kujenga
 
Kwa udhaifu huu wa J.k ni dhahiri kuwa CHADEMA imeshaikamata dola kabla ya 2015. Ni dhahiri na mwenye tafakuri hana haja ya kuuliza zaidi kwani waswahili husema mwenye macho haambiwi Tazama. Sina haja ya kurejea matukio mengi yaliyopita ila mambo tunayo ya sadiki hivi sasa yanaonyesha kuwa CHADEMA ndiyo inayo ongoza nchi. Ikumbukwe CC Ya CHADEMA ilipo tangaza kufanya maandamano nchi nzima mapema 2010 baada ya uchaguzi mkuu kushinikiza uandikwaji wa Katiba mpya ndipo J.K akaridhia na kutangaza kuanza mchakato wa katiba mpya. Hata hivyo baada ya mswada wa mabadiliko ya katiba kupitishwa na wabunge wa CCM Nakusainiwa na J.K licha ya mapungufu yaliyofanya CDM Kususia na hatimaye kutangaza kuwa CHADEMA watazunguka nchi nzima ndipo J.K Aliridhia mswada urejee tena Bungeni kwa mara ya kwanza. Hivijuzi baada ya CHADEMA kutangaza kuitisha kamati kuu ya dharura kutoa tamko kali kuhusu ufisadi ulioelezwa na CAG J.K Amekuwa mwoga na kuitisha Cc ya Chama Chake ijumaa kabla ya CC ya CHADEMA Jumamosi tar 28/04/2012 kwakuogopa kimbunga kinachokuja amekubali kusuka baraza la mawaziri.Hongera sana CHADEMA kwa kuuonyesha Uma wawa Tz kuwa sera na hoja zenu zinatekelezeka. Zungukeni sasa vijijini kuweka matawi kwani mnakubalika. Na mshauri J.K asilisuke baraza la mawaziri bali alinyoe kabisa ili nywele ziote upya

Mawazo haya ni baada ya kuvuta ndumu na kunywa viroba kwa akili ya kawaida huwezi ukafikiria uharo huu!
 
Kwa udhaifu huu wa J.k ni dhahiri kuwa CHADEMA imeshaikamata dola kabla ya 2015. Ni dhahiri na mwenye tafakuri hana haja ya kuuliza zaidi kwani waswahili husema mwenye macho haambiwi Tazama. Sina haja ya kurejea matukio mengi yaliyopita ila mambo tunayo ya sadiki hivi sasa yanaonyesha kuwa CHADEMA ndiyo inayo ongoza nchi. Ikumbukwe CC Ya CHADEMA ilipo tangaza kufanya maandamano nchi nzima mapema 2010 baada ya uchaguzi mkuu kushinikiza uandikwaji wa Katiba mpya ndipo J.K akaridhia na kutangaza kuanza mchakato wa katiba mpya. Hata hivyo baada ya mswada wa mabadiliko ya katiba kupitishwa na wabunge wa CCM Nakusainiwa na J.K licha ya mapungufu yaliyofanya CDM Kususia na hatimaye kutangaza kuwa CHADEMA watazunguka nchi nzima ndipo J.K Aliridhia mswada urejee tena Bungeni kwa mara ya kwanza. Hivijuzi baada ya CHADEMA kutangaza kuitisha kamati kuu ya dharura kutoa tamko kali kuhusu ufisadi ulioelezwa na CAG J.K Amekuwa mwoga na kuitisha Cc ya Chama Chake ijumaa kabla ya CC ya CHADEMA Jumamosi tar 28/04/2012 kwakuogopa kimbunga kinachokuja amekubali kusuka baraza la mawaziri.Hongera sana CHADEMA kwa kuuonyesha Uma wawa Tz kuwa sera na hoja zenu zinatekelezeka. Zungukeni sasa vijijini kuweka matawi kwani mnakubalika. Na mshauri J.K asilisuke baraza la mawaziri bali alinyoe kabisa ili nywele ziote upya


Mbona tumeshaanza kupanga baraza la mawaziri na pia kuisuka upya team ya usalama wa taifa na kuweka wakuu wa polisi waadilifu?

Tunasubiri muda tu ufike tuusuke upyauchumi wa nchi hii ufanane na raslimali zake.
 
Achanganye na mawaziri toka vyama vya upinzani kwani yy pia huwa anaamini kwamba wote tunajenga nyumba moja hivyo hakuna haja ya kugombea fito

nakubaliana na wewe...kuna watu wenye uwezo wa kusimamia wizara kutoka upinzani serikali ikiwa ya mchanganyiko itaongeza ufanisi wa kazi...mambo ya kubebana yatakua hayapo
 
Huyo ndiye Rais anayehitajika siyo wale wanaokurupuka. Wasiojua maana ya utawala wa sheria walishang'aka kuwa Rais ameshindwa kuwawajibisha mawaziri wake. Ilikuwa ni lazima baraza libadilishwe na wala siyo habari ya wanasiasa, Rais anafanya kazi kufuata ripori za wataalam na siyo wana siasa. Hongera yake JK kwa kuchukua maamuzi mazito kama hayo kwani inaonesha ni jinsi gani anavyoshikiana kwa kwa karibu na vyombo alivyoviunda kumsaidia kazi

Hoja ni baraza libadilishwe au hao wezi wakamatwe na kushtakiwa?
 
Huyo ndiye Rais anayehitajika siyo wale wanaokurupuka. Wasiojua maana ya utawala wa sheria walishang'aka kuwa Rais ameshindwa kuwawajibisha mawaziri wake. Ilikuwa ni lazima baraza libadilishwe na wala siyo habari ya wanasiasa, Rais anafanya kazi kufuata ripori za wataalam na siyo wana siasa. Hongera yake JK kwa kuchukua maamuzi mazito kama hayo kwani inaonesha ni jinsi gani anavyoshikiana kwa kwa karibu na vyombo alivyoviunda kumsaidia kazi
Nijuavyo mimi moja ya taasisi alivyo viteua JK ni paoja na Takukuru, USALAMA WA TAIFA(CCM) na nk....unaweza kuniambia kazi kubwa anagalau 3 kwa kila taasisi ya Takukuru na Usalama wa Taifa... je habari za ufisadi takukuru hawazijui? ni kazi ya nani kuwajulisha kuwa kuna turushwa kwenye taasisi fulani, je Usalama wa taifa wanafanya nini hama wananshindwa kumjulisha raisi kwenye mambo mazito kama hayo, unajua garama ya kuvuja baraza au unachkelea kuvuja, hawa mawaziri wanao ondolewa walimsaidia raisi vya kutosha kujilidhisha kuwa ni waadilifu au ni washika wa raisi na ubishi wa Kikwete.....................................................
 
Hoja ni baraza libadilishwe au hao wezi wakamatwe na kushtakiwa?
Mawaziri watakaojiuzuru wanatakiwa kuvuliwa ubunge kwa wizi na ubadhirifu wa pesa za umma na kufikishwa mahakamani, la sivyo wezi wote walioko magerezani waachiwe, la sivyo wananchi waingie barabarani kudai haki ya taifa lao...Lema akiwa viwanja vya sahara jijini mwanza
Lema alitoa kauli hii wengi wali beza lakini iko siku itawezekana kama watanzania tukiamua....
 
Back
Top Bottom