ITV vs Rais Magufuli na CCM

ITV vs Rais Magufuli na CCM

Status
Not open for further replies.
Sasa kama kila TV itatangaza kama TBC1 maana ya kuwa na Channel nyingi inakuwa hakuna.
TBC1 inahemea ruzuku serikalini na lazima iifagilie serikali lakini ITV inapambana yenyewe kwa matangazo hivyo lazima itangaze mambo ambayo wananchi wanataka kuyaona
 
Itv hamnaga tv kama ile tz. Tbc1 kidogo wakati wa tido nilikuwa naangalia. Unanishangaza ndugu saiv kituo bora cha habari ni itv yale majitu yanajua nn tunataka. Jitu kama ww ulitaka uone taarifa unayotaka itv wanamipangilio yao ya habari .

HAMNAGA ndio KISWAHLI gani?
 
Mheshimiwa raisi asipoangalia kuna watu watamwingiza katika balaa la ubaguzi wa kikabila na kidini
 
Hama stesheni, ni nini mbaya? Ukipenda Fanta wenzio wapenda Sprite wengine Zero na Pepsi.
 
Kwani wewe hujui kuwa ITV mmiliki wake ni mengi historia ipo wazi katika wauza madawa na wakwepa kodi wakubwa mengi naye yumo kwahiyo hawezi kumpenda jpm note hilo.
 
Ukweli ni kwamba mimi nime iondoa ITV kwenye my favorite channels!!
 
Mtoa mada hayuko mbali na ukweli...imewauma saaana.
HAPA KAZI TU..maneno peleka________ .
 
wewe uliyesema "wachaga wana kinyongo........" jitahidi ufute huo msamiati kichwani kwako. Ubaguzi wa aina yeyote si mzuri hata kidogo. Mi ni mchaga, sina kinyongo na kitu chochote wala mtu yeyote. Na kama kuna mtu anayetokea kilimanjaro ana kinyongo basi hakitokani na kabila lake bali itikadi yake binafsi. Hiyo hotuba ya kihistoria niliifatilia ikirushwa moja kwa moja na itv kwa hiyo hizi shutuma hazina msingi zaidi ya uzandiki. Pita hivi na ukabila wako.
 
Vyovyote tutakavyoongea ITV bado ni kituo bora kuliko vyote tz japo vituo vingine hususan TBC inauwezo wa kuwa kituo bora zaid ya vyote ila kwa utashi wao wameamua kujiweka jinsi walivyo hivi sasa.
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!
huyo siye waliye mchagua wengi
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

Wenzako kina makonda paulo hawakujipendekeza namna hiyo ili wapate ukuu wa wilaya, kafunge tu gidamu za rizimoja utapata unachokihitaji.Otherwise, ITV wanajitambua, wanakumbuka vizuri hotuba nzuuuuuuri ya mbayuwayu ya 2006,kilichotokea wahabeshi ndio wamekuwa mabalozi wetu China .
 
hivi mengi na lowassa wanaundugu jamani? naona kama wamefanana vile hata ongeayao inaendana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom